Sera ya CHADEMA inasemaje kuhusu Wasanii hususani wa muziki wa kizazi kipya?

Sera ya CHADEMA inasemaje kuhusu Wasanii hususani wa muziki wa kizazi kipya?

TOT pamoja nakuwa ni band ya Chama lakini hata siku moja kwenye majukwaa yao ya burudani kwa jamii hawakueneza itikadi za vyama.

Wakina Mond walichokua wanakosea ni kushabikia chama wakati walialikwa kwasababu ya Nyimbo zao kama Jeje nk.
 
Wataweza kweli?hata wakiungana
Leo yako wapi
 
Hii ndio sababu kuu👇
IMG_20210605_170351.jpg
 
Back
Top Bottom