johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Hahahaaaa...... Nilishastaafu utumishi wa umma manka!Ndio inabidi ccm nayo ikupende, ningekua na uwezo ningempumzisha mtoto wa dada, heri james hiyo nafasi nikupe....
Kwenye sanaa hakunaga vyama ndio maana Dr Mwigullu Nchemba wa CCM na Halima Mdee wa Chadema wote wako Yanga!Sasa kama ni Wanachama wa Uvccm wanaihusu nini CHADEMA?
Umestaafu utumishi, umejipa kazi ya upambe nuksi....😁Hahahaaaa...... Nilishastaafu utumishi wa umma manka!
Hahahaaaa...... mapenzi tu manka kama wewe ulivyokunywa maji ya bendera ya Ufipa!Umestaafu utumishi, umejipa kazi ya upambe nuksi....😁
We ni mpambe sana.
Hao CHADEMA watakuwa mazuzu kumpigia kura mtu anayewaimba "wameshikishwa ukuta".Kwenye sanaa hakunaga vyama ndio maana Dr Mwigullu Nchemba wa CCM na Halima Mdee wa Chadema wote wako Yanga!
Hii ndio sababu kuu👇Kwanini?