Uchaguzi 2020 Sera ya Majimbo ndio mkombozi wa Taifa

Umemaliza kila kitu boss
 
Hujui
 
Mku
Sana, Yaani Lisu mmoja ni sawa na CCM wote nchi nzima. We hushangai wote wanajibu hoja za Lisu tu ndo ujue amewazidi sana kwa akili
U hii sasa nidharau ambayo itafanya Lissu arose kura yangu kabisa. Futa kauli.
 
Sifuti bali nakazia, AKILI ALIZONAZO LISU NI SAWA NA UCHANGANYE AKILI ZA WANA CCM WOTE, BARA NA VISIWANI....Swali dogo tu kudhibitisha kauli yangu, Uliona wapi mtu anavunja katiba alafu wabunge wake wanamshangilia na kumwita majina yote....Kama hao wabunge akili zao ndo zipo hivyo, vipi mwanachama wa kawaida
Mku

U hii sasa nidharau ambayo itafanya Lissu arose kura yangu kabisa. Futa kauli.
 
Ikulu upinzani utisikiatu. Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM na si hawa akina Lissu. Kama alivyi jaribu Lowasa. Wakipatikana kama 4 prominent figures wakatoka mazima CCM hapo inawezatoka mapema. Lakini si kwa sasa.
Kwa hiyo akili kubwa ipo CCM kama mlivyo mwamini Lowassa ndani ya siku 2 mkampa kugombea urais.
 
Sikukatalii, maana hata Malawi walikuwa wanaamini kama ww, mwisho wa siku hawakuamini macho yao
 
Umeeleza vizuri mngoni mwenzangu ila umeharibu kutaja hilo jina la Lissu
 
Sera ya majimbo ingetufanya tuendelee kwa kasi sana, kwa mfano Kule ruvuma rasilimali ni nyingi sana, Yale malori yanatoa makaa ya mawe Kule kitai na Nyasa yanalipa mapato mengi sana, yote yanapelekwa makao makuu hazina, huku barabara za mitaa kukwanguliwa mpaka rais aamue.sio sawa.
 
Ndo hicho kinachoniuma
 
Taja mikoa ya kanda ya kati nikutajie rasilimali na fursa walizo nazo.
 
Hajui huyu, hajui Dodoma wanaongoza kwa kitu gani, singida, tabora ....Arudi kwanza primary
Taja mikoa ya kanda ya kati nikutajie rasilimali na fursa walizo nazo.
 
Wananchi wapi wameikataa?
Hawa wanaoitetea humu na wanaoishangalia katika mikutano ya Lissu sio wananchi?
 
Ni kutokujua kwako ndiko kunakudanganya kuwa mikoa ya kati ni maskini.

Kwa kuwa hii serikali imetekeleza sekta ya kilimo ndio maana unafikiria hivyo. Kilimo cha kisasa kikianzishwa kwenye hiyo mikoa wakawa wana-export mafuta ya alizeti na karanga kila moja atataka akaishi Singida au Dodoma.

Kwa aina ya serikali tuliyonayo mikoa hiyo itazidi kuonekana hivyo hivyo kama unavyoiona sasa wakati kiukweli ni mikoa tajiri ni hakuna mfano.

Zamani wakati wazungu wahamiaji walipohamia Marekani kutoka Ulaya hakuna jimbo walilokuta likiwa kame kama California lkn baadaye ndilo limekuja kuwa kielelezo cha Marekani leo.

Kwa mkakati na mpango chanya hakuna mkoa maskini.
 
DRC na Nigeria ni waganga wa ukabila.
Kumbuka pia USA, Brazil, Australia, Ujerumani na Canada ni wanufaika wa mfumo wa majimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…