Uchaguzi 2020 Sera ya Majimbo ndio msumari wa mwisho kwenye jeneza la CHADEMA kuelekea Oktoba 28

Huo ubaguzi mnaotaka kuuleta Tanzania hautatokea

Nchi zinazoongozwa kwa sera ya majimbo zipo kwenye mpasuko mkubwa sana,

Kama mnataka majimbo wafuateni mabwana zenu ubeligiji
Rubbish.
 
Mbeya aliomba kusuguliwa na Sugu,lakini Sugu wa watu yu mwingi wa hekima na busara kakataa ombi lile hadharani
 


Ukifanya kazi ya shetani lazima malaika akupitie
 
Wapiga kura watoka Kilimanjaro this election is a crucial decision Moment for you mnataka kuendelea kuonekana adui wa CCM au LA ili future decision kuwahusu ziingie Part two? You have enjoyed so much for 60 years under CCM rule Do you want to break that relationship? You are welcome CCM we are ready to enter part Two to deal with you bila huruma popote mlipo
 
Bado unaamini hoja zako mfu za ukabila zitakusaidia mwaka huu???😂😂😂😂

Umepotea sana mwana Lumumba

Watu wameielewa na kuikubali Sera ya majimbo. Wanajua duniani korte hayo unayoyasema hayapo kwenye nchi zinazofuata Sera hii!! Upotoshaji wenu hautawasaidia lolote mwaka huu😂😂😂

Lissu all the way ✌️✌️
 
Yote ni kweli mkuu
 
Wabunge wa chadema ni wabunge maslah
 
Msaliti wa nchi tunamshughukikia october 28
Ndio maana nakuambia hamna serikali kama kuna msaliti na bado ana uhuru na anawahenyesha kama ww unavyoshupaza mku.ndu hapa jukwaani kuhalalisha hoja yako
 
Nchi zenye majimbo zina vurugu za kivita ,machafuko ya kidini na kikabila tuwakatae chadema watatuharibia nchi
Nchi zote zina majimbo kasoro TZ ..kwahiyo hizo nchi zooote mabeberu wamechukua?

Na China mnayoona ndio nchi ya kuiga ina majimbo,mabeberu wamechukua?

Pumbavu wewe
 
Udkteta upo chadema,ccm demkrasia imetawala
 
Chadema ni wasaliti wa nchi hawana nafasi tanzania
Kwa sera hiyo ya Majimbo, CDM hampati kura nyingi. Mkibahatika sana mnaweza kupata 5% ya Rais, 7% Ubunge na 6% Udiwani.
 
Wasaliti wa nchi watachaguliwa na robert tu[emoji28][emoji28][emoji28]

Hatuwezi kuiacha ccm
Sisi ndo watanzania na tunataka Sera ya majimbo. Hivyo tutawachagua chadema kwa kura nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…