Rubbish.Huo ubaguzi mnaotaka kuuleta Tanzania hautatokea
Nchi zinazoongozwa kwa sera ya majimbo zipo kwenye mpasuko mkubwa sana,
Kama mnataka majimbo wafuateni mabwana zenu ubeligiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rubbish.Huo ubaguzi mnaotaka kuuleta Tanzania hautatokea
Nchi zinazoongozwa kwa sera ya majimbo zipo kwenye mpasuko mkubwa sana,
Kama mnataka majimbo wafuateni mabwana zenu ubeligiji
Mbeya aliomba kusuguliwa na Sugu,lakini Sugu wa watu yu mwingi wa hekima na busara kakataa ombi lile hadharaniHakuna Sehemu Rais Magufuli amewataja Wapinzani kwenye kampeni zake
Yeye anamwaga sera za kuwatumikia Wananchi
Ila mgombea wa chadema ni kutema kila aina ya matusi sera hakuna
Na hii sera za majimbo ndio zimeizika rasmi Chadema
Kwaheri Chadema nakuhakikishia hata mbunge hutapata
Vijana wa Chadema jifunzeni kujenga hoja na sio matusi Kama hivi, mnajiaibisha Sana.Jamii forums imevamiwa na wapumbavu .eti serikali ya majimbo itagawa watu
Wakuu ukiacha usaliti wa Nchi na kutumika na Mabeberu
CHADEMA imejizika yenyewe kwa kuleta sera ya kujitawala kimajimbo ndani ya Tanzania
Kwa wale Watanzania ambao hawajaipitia hii sera ya CHADEMA
Ni kwamba kama wewe unatokana Kilimanjaro hurusiwi kwenda kagera hadi uende uhamiaji ni kama vile unahama Nchi
Lazima uwe na documents zote zile zinatohitajika ili kuhama Nchi
Kama Wewe unatoka mbeya hurusiwi kwenda Dar es salam hadi uende ofisi za uhamiaji za jimbo husika, Gavana akikataa kukupatia kibali basi tena hutoki ndani ya jimbo
Swala la ajira:
kama wewe umezaliwa Dodoma hurusiwi kuajiriwa nje ya jimbo ulilozaliwa,yaani kama kuna nafasi za ajira Morogoro wewe mtu wa Dodoma hurusiwi kusogeza pua
Pia kiuchumi mfano kama wewe unatoka Singida Mashariki ambako hali ya kiuchumi ni duni sana hurusiwi kwenda Moshi kwa ajili ya kutafuta fursa za kiuchumi hadi uwe na passport ya kusafiria kama unavyoenda Africa Kusini
Tunajua Tanzania wachaga wametapakaa kila kona ya Nchi wakijitafutia riziki ila CHADEMA wanataka kila mtu afanye biashara alikozaliwa, hii inamaana kuwa watu wa Kilimanjaro wote watatakiwa kurudi kwao endapo CHADEMA itashinda Uchaguzi
Marafiki zangu wa Kilimanjaro wanaofanya biashara Dar es salam wametokea kuchukizwa sana na sera hii ya CHADEMA na kusema wamejitakia kifo kwa chama chao na wameapa kutoipigia kura CCM
Mtazamo wangu sera za majimbo zinazopigiwa upatu na CHADEMA zitaleta udini na ukabila na matabaka kama ilivyo Nigeria
Tunaishukuru CCM kwa kupigania umoja wa Watanzania, wanaotaka kutugawa kamwe hawataweza, wale waliowatuma watugawe ili iwe rahisi kupora raslimali zetu hawataweza kamwe
Kwa heri CHADEMA, October bungeni tunataka chama cha siasa cha upinzani cha kizalendo na sio hao wanaopigania kuwamilikisha Wazungu raslimali zetu
Bado unaamini hoja zako mfu za ukabila zitakusaidia mwaka huu???😂😂😂😂Wapiga kura watoka Kilimanjaro this election is a crucial decision Moment for you mnataka kuendelea kuonekana adui wa CCM au LA ili future decision kuwahusu ziingie Part two? You have enjoyed so much for 60 years under CCM rule Do you want to break that relationship? You are welcome CCM we are ready to enter part Two to deal with you bila huruma popote mlipo
Angekua anatosha asingepiga magotiLisu ni debe tupu!
JPM atosha.
Hawa wameandika kama ingetokea colona ndo madhara yakiuchumi yangetupata
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Fafanua!!
Leta na ushahidi!!Wa nigeria kusafiri jimbo moja kwenda lingine unahitaji visa???
Wa canada kusafiri jimbo moja hadi lingine kuhitaji visa na Ubelgiji pia??
Pia lete mifano na ushahidi kuwa kwenye hizo nchi Mkazi wa jimbo moja haruhusiwi kupata kazi jimbo lingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Let’s ushahidi na uthibitisho hapa kwa hizo nchi ulizozitaja
Ukishindwa nawaambia mods wabadili id yako from Bia yetu to Certified Kilaza!!! Sawasawa??
Haikuleta madhara kama benk ya dunia walivyotutabiria,, jpm kaishinda mpaka saiv kwa uweza wa mwenyez mungu tunaduda,, Tofaut na wabunge wa opposite walivyotaka bunge liahilishwe, sijuw bajet ingepitishwa na nan... Jpm mitano tena
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Nchi zote zina majimbo kasoro TZ ..kwahiyo hizo nchi zooote mabeberu wamechukua?
Na China mnayoona ndio nchi ya kuiga ina majimbo,mabeberu wamechukua?
Pumbavu wewe
Sidhani kama kuna chochote unachoelewa kuhusu Federal System of Government. Tuambie nchi zenye mpasuko zilizo na serikali ya majimbo (Federation).
Otherwise, usiongelee usichokifahamu kwa sababu tu ya kushabikia udikteta ambao ukichunguza sana utakuta hata wewe hunufaiki nao.
Wapiga magoti wa CCM mmeishiwa sana hoja , bila shaka mpaka akiri zenu zitakuwa zimepiga magoti vichwani mwenu .View attachment 1589828