Uchaguzi 2020 Sera ya Majimbo ndio msumari wa mwisho kwenye jeneza la CHADEMA kuelekea Oktoba 28

Uchaguzi 2020 Sera ya Majimbo ndio msumari wa mwisho kwenye jeneza la CHADEMA kuelekea Oktoba 28

Kwahiyo wewe unataka tuendelee na huu utawala uliodumu karibia miaka 60 viongozi wakiwa wanachezea kodi na rasilimali za nchi kwa ufisadi kama vile hizo rasilimali hazina wenyewe.

Sera ya majimbo ndiyo jibu la ufumbuzi wa tatizo la umasikini wa nchi yetu, hivi inawezekanaje nchi yenye rasilimali nyingi kama Tanzania kuwa katika orodha ya nchi masikini sana duniani halafu tuendelee na hizo sera za kumuachia mtu mmoja maamuzi ya rasilimali zetu zote, kwanini yeye ni Mungu halafu halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote.

Majimbo ndiyo njia pekee ya kutukomboa kiuchumi, tatizo watu kudhania mikoa ndiyo majimbo ati miko mingine haina rasilimali sa kutosha sasa kama mikoa siyo majimbo hiyo hoja inakuwaje na nafasi.

Hivi European Union mtu akitaka kwenda kufanya kazi nchi Jirani kuna uthibiti gani tena zile ni nchi tofauti lakini watu wako huru kufanya kazi popote, halafu mtu mjinga kama wewe unakuja na hoja za kijinga ati watu hawataruhusiwa kutoka jimbo moja kwenda lingine, pumbavu kabisa wewe jaribu kusoma sera na kuielewe siyo unaandika mihemko yako
Tambua tuko uchumi wa kati..mbavu kabsa...

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Jibu swali ni wapi kwenye mfumo wa majimbo unaitaji visa kutoka jimbo moja hadi lingine????[emoji23][emoji23][emoji23]

Alafu utapata jibu kati ya mimi na wewe nani ni mpumbavu
80% ya mapa yote hukusanywa mkoa mmoja wa dar.. Leo ukisema singida hapo kwenu mjitegemee mtakula hizo alizet zenu,fara ww

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
80% ya mapa yote hukusanywa mkoa mmoja wa dar.. Leo ukisema singida hapo kwenu mjitegemee mtakula hizo alizet zenu,fara ww

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Kama mmeshindwa kukusanya mapato ni nyie CCM na ukilaza wenu. Ndo mana tunataka tuwatoe tuwaweke watu wenye uwezo na maarifa watakaoweza kutengeneza mfumo thabiti wa kukusanya mapato kwa maendeleo ya wananchi.

Hujui singida Kuna dhahabu??? Hujui kuna mapori ya akiba yenye wanyama tele???
 
Ubeligiji ni ka Nchi kadogo km mkoa wa njombe, imegawanywa katika majimbo mawili
Miaka mingi kila jimbo limekuwa likitaka lijitangaze kuwa Nchi kamili

Ubaguzi ni mbaya sana, tuwakatae Chadema wanataka kutugawa
Lete ushahidi wa hayo unayosema kilaza mkubwa wewe!!!
Weka ushahidi wa hao watu wanaozungumza kifaransa kukosa kazi maeneo wanayozungumza kijerumani kwa sababu wanabaguliwa
 
Ubeligiji ni ka Nchi kadogo km mkoa wa njombe, imegawanywa katika majimbo mawili
Miaka mingi kila jimbo limekuwa likitaka lijitangaze kuwa Nchi kamili

Ubaguzi ni mbaya sana, tuwakatae Chadema wanataka kutugawa
Mbona hapa Zanzibar imekuwa ikitaka kujitenga??? Aboud Jumbe mlimuondoa Uraisi wa Zanzibar na Umakamu mwenyekiti CCM kwa sababu gani???

Kwa iyo na hapa Kuna ubaguzi?
 
Ndio uhalisia Mkuu, sera za majimbo za Chadema zinataka visa kutoka jimbo moja kwenda kwenda jimbo lingine

Huwezi kupata kazi nje ya jimbo lako, huwezi kuwekeza nje ya jimbo lako

Hapa nawahurumia rafiki zangu wachaga kwani ndio wataathirika zaidi
Kwa iyo wewe unakubali ujinga huu wa wana lumumba wenzako kuwa kwenye sera za majimbo unaitaji visa kutoka jimbo moja hadi jingine????!

Unakubali ujinga wao huu kuwa kwenye sera ya majimbo mtu wa jimbo moja hawezi kuwekeza kwenye jimbo lingine???

Hili ni jukwaa la great thinkers. Mtu akiongea utopolo lazima apewe makavu maana huku sio facebook kwa vilaza!!
 
Asante Rais Magufuli kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati, Mungu akupe afya uendelee kututumikia
Na si tu Magufuli ameipeleka Tanzania uchumi wa kati bali pia ameipa hadhi yakuwa miongoni mwa nchi za kisasa.Hao chadema washakufiiiin bado kuzikwa tu.
 
Wewe tatizo hujaelewa lugha ya malkia hapo ubaguzi nje nje
Huo mgawanyo mbona ni wa kawaida!! Kuna shida gani???
Nani kasema wamebaguana???? Wapi wamesema mtu wa jimbo moja hawezi kuishi jimbo lingine??? Wapi wamesema mtu wa jimbo moja hawezi kuwekeza au kumiliki Mali kwenye jimbo lingine??? Wapi wamesema kutoka jimbo moja kwenda lingine unaitaji visa????!

CCM ni vilaza aisee sijawai ona[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio uhalisia Mkuu, sera za majimbo za Chadema zinataka visa kutoka jimbo moja kwenda kwenda jimbo lingine

Huwezi kupata kazi nje ya jimbo lako, huwezi kuwekeza nje ya jimbo lako

Hapa nawahurumia rafiki zangu wachaga kwani ndio wataathirika zaidi
Wapi yanaafanyika hayo??? Kuwa jimbo moja kwenda lingine unahitaji visa???

Wapi inafanyika hayo kuwa mkazi wa jimbo moja hawezi pata kazi jimbo lingine??!!

Toa ushahidi hapa
 
CCM sera yenu ya mahakama ya ufisadi iliishia wapi au ufisadi haupo awamu hii?
 
Kama mmeshindwa kukusanya mapato ni nyie CCM na ukilaza wenu. Ndo mana tunataka tuwatoe tuwaweke watu wenye uwezo na maarifa watakaoweza kutengeneza mfumo thabiti wa kukusanya mapato kwa maendeleo ya wananchi.

Hujui singida Kuna dhahabu??? Hujui kuna mapori ya akiba yenye wanyama tele???
Tundu lisu umemskia lini akitaja hizo raslimali za mkoa wake kama mbunge,? Amesaidia nn jimbo lake tofaut na kudidimiza kiuchumi..? Kama kuna raslimali zote hizo halmashauli aliyongoza imendelea kuwa ya mwisho kila mwaka..!! Hatumtak mwabieni tunaendelea na mzalendo wa kwer. Mabeberu hatuyatak

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom