gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Ha haaaa, dah Kabudi nadhani hata ye akijiangalia enzi za rasimu na alivyo sasa atakuwa anajipiga vibao mwenyewe.... akisindikizwa na Prof. Kabudi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haaaa, dah Kabudi nadhani hata ye akijiangalia enzi za rasimu na alivyo sasa atakuwa anajipiga vibao mwenyewe.... akisindikizwa na Prof. Kabudi.
Maganda ya korosho.Hivi usomi wa Magufuli upo kwenye eneo lipi hasa ?
Kama walivyo mdanganya kwamba upinzani umekufa..Naona Magufuli naye ameikurupukia hii hoja!Namsikia huko Tabora anawadanganya wananchi juu ya hoja hii!
Toka alivyopigwa na bashite, hawezi kufungua mdomoMzee Warioba bado ninamkubali sana , natamani mara nyingi ajitokeze asimamie na kutetea ukweli aliousimamia kiu ya Watanzania kupata Katiba wanayoihitaji.
Na wanapinga kwa hoja dhaifuMbali na kwenye Rasimu ya Warioba, sera hii pia aliinadi Mbowe wakati akigombea urais 2005 ilikuwepo kwenye ilani ya Chadema kipindi hicho.
All in all ni sera nzuri inayo rejesha mamlaka kwa wananchi kuchagua viongozi wanao wataka na kujiwekea utaratibu wa namna ya kuendesha serikali ya jimbo lao kulingana na fursa na rasilimali za eneo husika katika kujiletea maendeleo.
Ccm lazima waipinge kwa sababu itaondoa utawala unao wafavor kama vile MaDc, MaRc, wakurugenzi nk ambao huteuliwa na rais na ndio wanatumika kuibeba ibaki madarakani pamoja na kuwa imechokwa kila kona.