Sera za Mh. Lissu ni hizi; za Mbowe ni zipi?

Sera za Mh. Lissu ni hizi; za Mbowe ni zipi?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mheshimiwa Lissu ameweka na kufafanua kwa kina sera zake ikiwa atashinda uwenyekiti wa CHADEMA

1. No reform no election. Hakuna kumchekea Samia wala CCM
2. Kuwe na ukomo viti maalumu bungeni
3. Kuwe na ukomo kwenye uongozi wa chama
4. Kupeleka rasilimali za chama ngazi za chini badala ya wajanja wachache kula vinono makao makuu
5. Kuwe na uwazi na uwajibikaji kwenye chama
6. Kuimarisha mifumo ya kifedha
7. Kukomesha rushwa kwenye chama
8. N.K

Nauliza sera za Mbowe ni zipi? Au ni kinyume cha hayo ya Lissu? Kwa nini tusiamini huyu Mbowe ni tapeli maana genge lake hatulisikii kabisa likinadi sera zake. Badala yake tunasikia wanagawa pesa na kununua watu.
 
Tanzania Ina uhaba wa rasilimali watu Ila Ina watu.

MTU unazaliwa mpaka sasa tunaelekea uzeeni majina yanayotawala siasa za Tz ni yaleyale.

Nimependa Sana hii movement ya kumuondoa Mbowe imekaa vizuri Sana hili wimbi lifike hadi Kwa wabunge na nchi kama umekaa bungeni miaka 10 waachie wengine inatosha Sana.
 
Mheshimiwa Lissu ameweka na kufafanua kwa kina sera zake ikiwa atashinda uwenyekiti wa CHADEMA
1. No reform no election. Hakuna kumchezea Samia wala CCM
2. Kuwe na ukomo viti maalumu bungeni
3. Kuwe na ukomo kwenye uongozi wa chama
4. Kupeleka rasilimali za chama ngazi za chini badala ya wajanja wachache kula vinono makao makuu
5. Kuwe na uwazi na uwajibikaji kwenye chama
6. Kuimarisha mifumo ya kifedha
7. Kukomesha rushwa kwenye chama
8. N.K

Nauliza sera za Mbowe ni zipi? Au ni kinyume cha hayo ya Lissu? Kwa nini tusiamini huyu Mbowe ni tapeli maana genge lake hatulisikii kabisa likinadi sera zake.
Za Mbowe ni Kufia madarakani na saccos yake huku vijana tukiendelea kutekwa wao wanakutana na kina wenje kula mabilioni ya ccm
 
Mheshimiwa Lissu ameweka na kufafanua kwa kina sera zake ikiwa atashinda uwenyekiti wa CHADEMA
1. No reform no election. Hakuna kumchekea Samia wala CCM
2. Kuwe na ukomo viti maalumu bungeni
3. Kuwe na ukomo kwenye uongozi wa chama
4. Kupeleka rasilimali za chama ngazi za chini badala ya wajanja wachache kula vinono makao makuu
5. Kuwe na uwazi na uwajibikaji kwenye chama
6. Kuimarisha mifumo ya kifedha
7. Kukomesha rushwa kwenye chama
8. N.K

Nauliza sera za Mbowe ni zipi? Au ni kinyume cha hayo ya Lissu? Kwa nini tusiamini huyu Mbowe ni tapeli maana genge lake hatulisikii kabisa likinadi sera zake. Badala yake tunasikia wanagawa pesa na kununua watu.
Kumbe miaka 20 yalikuwa yakitendeka haya kweli Chadema Mbowe aliongoza misukure isiyojielewa akiwepo na lissu!
 
Tofautisha misimamo ya mtu ambae inam-define yeye kama either ni radical/democratic/left wing/right wing (hizo sio sera).

Umeongelea misimamo ya Lissu; sera ni kitu kingine.

Kwa msimamo Lissu ni radical.

Radicals ni watu wanaoishi lala-land politically kama Lissu.

Udhani wanachofikiria wao ndio sahihi, bila ya kucha kipi kina merit na kipi ni nadharia tu.

Lissu hajui kutofautisha madai halali na nadharia.

Mbowe anajua madai gani yalikuwa nadharia (japo) alikuwa mwenyewe kwenye msimamo wa kamati kuu.

Mbowe anajua negotiations ni give and take, lakini madai hayana mwisho.

Lissu sio mwanasiasa, ni ghasia tu.
 
Back
Top Bottom