Raisi ana mawazo mazuri kuhusu biashara hasa upande wa viwanda lakini utekezaji wa mawazo yake haya una mapunfu makubwa.
hakuna nchi duniani inayoweza kupata maendeleo kwa kufunga milango yake hawauzi wala kununua nje.
nchi zinapiga hatua kwa kuuza nje sana na kununua kidogo lakini si kidogo bali nchi inaweza kununua sana ila kwa vitu abavyo haiwezi kuvitengeneza yenyewe.
ili nchi ipige hatua inahitaji kushirikiana na wajanja kwa kununua baadhi ya bidhaa kwao na kuuza baadhi ya bidhaa kwao hivyo nyote mnanunuliana na kuuziana.
nchi inahitaji nchi za wajinga kwa sana wanaoweza kuzalisha lakini hawazalishi wanaagiza kila kitu ili wawauzie bidha zao.
nchi kufanya mapinduzi haya yanahitaji mikakati ya kiuchumi kwa kuangalia mifumo ya kodi, kuangalia sera, sheria na kanuni mbalimbali.
mfano tunategemea kuvaa guo zetu kuoka asia na mtumba ya ulaya. sasa kwa raisi kusimama kwenye majukwaa kujiuliza haisadii bali kuangalia ni kwa nini nguo wanazoshona watanzania haziwezi kushindana sokoni na nguo za nje na kutengeneza mazingira ya kuziwezesha kushindana. leo hii nguo ya kushona kwa fundi ni gali kuliko nguo iliyoshonwa malasia lakini kama taifa tujiulize kuwa na nguo tu iliyonwa malasia na kuwa na nguo gali iliyoshonwa kwetu na fedha iliyonunua bado iko kwenye mzunguko wetu wa ndani ni kipi chenye faida?
litakuwa kosa kubwa tukitumia majukwaa kueneza propaganda za mabo ya kiucumi kwani tunaowanyanganya biahara nao watawaanza kutunyananya biashara katika masoko ya kwao.
raisi atumie watalamu kufanya kazi na kimya kimya tuombe mambo yanabadilika. kwenye majukwaa anaweza kusema kuwahamasisha watu kuchukua fursa wanazozitengenr
hakuna nchi duniani inayoweza kupata maendeleo kwa kufunga milango yake hawauzi wala kununua nje.
nchi zinapiga hatua kwa kuuza nje sana na kununua kidogo lakini si kidogo bali nchi inaweza kununua sana ila kwa vitu abavyo haiwezi kuvitengeneza yenyewe.
ili nchi ipige hatua inahitaji kushirikiana na wajanja kwa kununua baadhi ya bidhaa kwao na kuuza baadhi ya bidhaa kwao hivyo nyote mnanunuliana na kuuziana.
nchi inahitaji nchi za wajinga kwa sana wanaoweza kuzalisha lakini hawazalishi wanaagiza kila kitu ili wawauzie bidha zao.
nchi kufanya mapinduzi haya yanahitaji mikakati ya kiuchumi kwa kuangalia mifumo ya kodi, kuangalia sera, sheria na kanuni mbalimbali.
mfano tunategemea kuvaa guo zetu kuoka asia na mtumba ya ulaya. sasa kwa raisi kusimama kwenye majukwaa kujiuliza haisadii bali kuangalia ni kwa nini nguo wanazoshona watanzania haziwezi kushindana sokoni na nguo za nje na kutengeneza mazingira ya kuziwezesha kushindana. leo hii nguo ya kushona kwa fundi ni gali kuliko nguo iliyoshonwa malasia lakini kama taifa tujiulize kuwa na nguo tu iliyonwa malasia na kuwa na nguo gali iliyoshonwa kwetu na fedha iliyonunua bado iko kwenye mzunguko wetu wa ndani ni kipi chenye faida?
litakuwa kosa kubwa tukitumia majukwaa kueneza propaganda za mabo ya kiucumi kwani tunaowanyanganya biahara nao watawaanza kutunyananya biashara katika masoko ya kwao.
raisi atumie watalamu kufanya kazi na kimya kimya tuombe mambo yanabadilika. kwenye majukwaa anaweza kusema kuwahamasisha watu kuchukua fursa wanazozitengenr