mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ikumbukwe kuwa mnamo mwaka 1999 nchi zilizo chini ya NATO wakiongozwa na Marekani ziliishambulia na kuiharibu vibaya sana nchi ya Serbia (wa iliyokuwa Yugoslavia ya zamani). Nchi za magharibi zilikuwa zinalitetea jimbo la KOSOVO lililokuwa linataka kujitenga na Serbia. Uvamizi huo ulifanikisha KOSOVO kujitenga na kutambuliwa na nchi za magharibi.
Sasa nchi za magharibi zinaitaka Serbia kuunga mkono vikwazo vya nchi za magharibi dhidi ya Urusi na zinaitaka pia Serbia ilaani uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Sasa Serbia imeziambia nchi za magharibi zianze kwanza kuiomba msamaha kwa kuwa ziliivamia nchi yake (kama urusi alivyoivamia ukraine), na pia zitangaze kutokuitambua KOSOVO ili kuonesha zinaheshimu mamlaka ya kitaifa ya Serbia. Kinyume na hapo zikome kutaka kuifanya serbia kama askari wake wa miguu dhidi ya vita vyao na Urusi!!
Every time American or other Western officials call on Belgrade to impose sanctions on Russia, Vulin says he asks them when they would do the same over the violation of Serbia’s territorial integrity.
Sasa nchi za magharibi zinaitaka Serbia kuunga mkono vikwazo vya nchi za magharibi dhidi ya Urusi na zinaitaka pia Serbia ilaani uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Sasa Serbia imeziambia nchi za magharibi zianze kwanza kuiomba msamaha kwa kuwa ziliivamia nchi yake (kama urusi alivyoivamia ukraine), na pia zitangaze kutokuitambua KOSOVO ili kuonesha zinaheshimu mamlaka ya kitaifa ya Serbia. Kinyume na hapo zikome kutaka kuifanya serbia kama askari wake wa miguu dhidi ya vita vyao na Urusi!!
Every time American or other Western officials call on Belgrade to impose sanctions on Russia, Vulin says he asks them when they would do the same over the violation of Serbia’s territorial integrity.
If you want to stick to territorial integrity and sovereignty as the most important principle of international politics… start with Serbia.