lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Ohoo!nchi gani hiyo mkuu yenye wanawake hao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoo!nchi gani hiyo mkuu yenye wanawake hao?
Hatuwaachii muendelee kupotosha. sababu ya Mgogoro wa Serbs na Kosovars hii hapa.Nato ziliingia kijeshi pale Kosovo kwa sababu ya majeshi ya Serbia yalikuwa yanafanya mass murders kwa minority wenye Imani ya kiislaam,hawa walikuwa wanauliwa kisa Imani zao za kidini
Usilolijua zile zilikua propaganda za nato ili wapate sababu ya kuimega serbia,Mkuu hii mada ina uchoyo wa ukweli, Nato ziliingia kijeshi pale Kosovo kwa sababu ya majeshi ya Serbia yalikuwa yanafanya mass murders kwa minority wenye Imani ya kiislaam,hawa walikuwa wanauliwa kisa Imani zao za kidini,mada za ukweli ni safi zaidi kuliko kuweka hizi mada zenye nusu uongo na kutumia lugha kama za mhariri wa gazeti la uhuru sio Safi.
Kweli nimeamini kusoma ni kuelewa ila kukesha ni mbwembwenchi gani hiyo mkuu yenye wanawake hao?
Aliyekuaminisha hayo mauaji ni nani?Mkuu hii mada ina uchoyo wa ukweli, Nato ziliingia kijeshi pale Kosovo kwa sababu ya majeshi ya Serbia yalikuwa yanafanya mass murders kwa minority wenye Imani ya kiislaam,hawa walikuwa wanauliwa kisa Imani zao za kidini,mada za ukweli ni safi zaidi kuliko kuweka hizi mada zenye nusu uongo na kutumia lugha kama za mhariri wa gazeti la uhuru sio Safi.
Mimi ni muislamu na sikibaliani na hilo. Walikua na plan zao zingine. Hao waislamiu ilikua ni kichaka tu kujifichiaMkuu hii mada ina uchoyo wa ukweli, Nato ziliingia kijeshi pale Kosovo kwa sababu ya majeshi ya Serbia yalikuwa yanafanya mass murders kwa minority wenye Imani ya kiislaam,hawa walikuwa wanauliwa kisa Imani zao za kidini,mada za ukweli ni safi zaidi kuliko kuweka hizi mada zenye nusu uongo na kutumia lugha kama za mhariri wa gazeti la uhuru sio Safi.
Una uhakika mkuu? Pale hapakua na France Bali palikua na NATO. Ambao NATO hao big three ndo walisambaza kichapo.. , France, UK, na UsLibya ni mfaransa Mkuu sio mwamerika
Nashangaa mkuu, mbona hawajaenda kusuluhisha mgogoro wa Israel na Palestna
weka taarifa yako vzr , Serbia ilivamia nchi washirika wa Yugoslavia kulazimisha wabakie kuwa washirika wa Yugoslavia ( sio utaratibu kutumia jeshi kulazimisha muungano wa kitaifa au kishirikisho ) so NATO waliomba kibali kutoka EU na wakapewa ruhusa kwenda kutetea waliokuwa wanauawa na Waserbia huko Kossovo , Croatia , Bosnia , Slovenia nk , UshabikI usikufanye upike story na kuficha mabaya ya Serbia , yaan Tanganyika itumie jeshi kulazimisha muungano hlf ww uite ni sawa tu !Ikumbukwe kuwa mnamo mwaka 1999 nchi zilizo chini ya NATO wakiongozwa na Marekani ziliishambulia na kuiharibu vibaya sana nchi ya Serbia (wa iliyokuwa Yugoslavia ya zamani). Nchi za magharibi zilikuwa zinalitetea jimbo la KOSOVO lililokuwa linataka kujitenga na Serbia. Uvamizi huo ulifanikisha KOSOVO kujitenga na kutambuliwa na nchi za magharibi.
Sasa nchi za magharibi zinaitaka Serbia kuunga mkono vikwazo vya nchi za magharibi dhidi ya Urusi na zinaitaka pia Serbia ilaani uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Sasa Serbia imeziambia nchi za magharibi zianze kwanza kuiomba msamaha kwa kuwa ziliivamia nchi yake (kama urusi alivyoivamia ukraine), na pia zitangaze kutokuitambua KOSOVO ili kuonesha zinaheshimu mamlaka ya kitaifa ya Serbia. Kinyume na hapo zikome kutaka kuifanya serbia kama askari wake wa miguu dhidi ya vita vyao na Urusi!!
Every time American or other Western officials call on Belgrade to impose sanctions on Russia, Vulin says he asks them when they would do the same over the violation of Serbia’s territorial integrity.
mkuu ww ni muislam ila mahaba yako yamekufanya ukawa mpuuz kiasi hicho ? Serbia aliua sana na kuvamia nchi washirika wenzie wa Yugoslavia , au kitabu ulichosoma kilianzia tu pale NATO walipoingia kuizuia Serbia nYakwako pia uliyathibitisha,au umesimamia propaganda za beberu America na washirika wake,kumbuka hata Iraq alinyongwa Sadaam Kwa propaganda ovu za beberu America Kwa kisingizio Cha silaha za mass destruction [emoji848]
duh bongo vichaa wengi sana , so mabeberu walidanganya dunia nzima kuwa huko Yugoslavia hakukuwa na chochote ila ni uongo wa Mabeberu ili waivamie Yugoslavia maana kipind hicho Serbia haikuwa nchi , na baadae Mabeberu walilazimisha Croatia , Kossovo , Bosnia na Slovenia zijitenge licha ya kuwa zenyew hazikuta sabab Serbia aliwapenda washirika wenzie ila mabeberu walikuwa wanaipakazia Serbia , na Nahis mabeberu wanatudanganya kuwa Yugoslavia ilivunjika ila ukwel ni kuwa Yugoslavia bado ipo na hawatak kuwahaibisha Mabeberu wanasikilizia kwanzaHizi ni sababu tu walizotumia mabeberu kuhalalisha uvamizi wao na wala hazina ukweli kwa kiasi wanachotaka tuamini. Kama walikuwa na mgogoro wa kidini basi ni mambo ya ndani ya nchi yaliyopaswa kusuluhishwa kwa njia ya amani na siyo kuingilia uhuru wa ndani! Unataka kuniambia mgogoro unaofukuta sasa Loliondo na ngorongoro unaweza kuwa sababu ya halali mataifa mengine kutushambulia ili kuwatetea wamasai? Hivi duniani hapa mgogoro wa kidini ulikuwa KOSOVO peke yake?
so Serbia hakuwai kuvamia majirani zake kabla ya Nato kuingia kusaidia ? Hv Iraq hakuwa kuivamia Iran ? je Ghadaf hakuwai msaidia Idd Amin kupora mkoa wa Kagera ? ushabiki unawatia uchiz sana , na nahis Yugoslavia bado ipo sabab walipendana sana na Mabeberu walikuwa wanawapakazia tuUlitaka Marekani watumie sababu gani kuhalalisha uvamizi wao? Maana Iraki walisema kuna silaha za maangamizi, Libya walisema Ghaddafi gaidi anaua watu nk. Usiwaamini sana Wamarekani, waongo wakubwa!
na kwann mnakimbiliaga huko msipopendwa ? allah kama yupo moto unawahusu unafik umezid kipimo
Kwan Iraq hakuivamia Iran au unahis kosa lilikuwa moja tu ? ushabiki unawafany vijana mnakuwa vichaaWe jamaa bwana eti mauji ya alaiki, hivi kule Iraq walipata zile silaha?
OP kbs , jitahidin kutetea kwanz kinachozungumziwa , Serbia anataka aombwe msamaha eti alivamiwa ss tunauliza yeye alikuwa anapekea misaada kule Bosnia , Croatia , Kossovo na Slovenia ?Hivi kuna taifa lenye ubaya kuzidi Marekani duniani? Marekani ni taifa pekee lililowahi kutumia silaha za nyuklia dhidi ya taifa lingine (dhidi ya Japan), Marekani ilidanganya kuwa Sadam Hussein wa Iraq ana silaha za maangamizi, na wakatumoia kisingizio hicho kuishambulia Iraq na kuua makumi elfu ya raia wasio na hatia hadi Sadam Hussein akakamatwana kunyongwa!! Marekani hiyo hiyo iliishambulia Libya ya Gadafi na ikawadanganya na kuwarubuni walibya waasi dhidi ya kiongozi wao Gadafi ikiwadanganya kuwa Gadafi akiondoka watakuwa na maisha mazuri. Gadafi alikamatwa na kuuawa lakini LIbya ndo hiyo hadi leo haitawaliki na vita vya wenyewe kwa wenyewe bado vinaendelea!Hilo Taifa ovu kama Marekani leo haliwezi kujigeuza na kuwa mwalimu wa kufundisha na kusimamia haki za binadamu wakati yenyewe ni mharibifu na mvunjaji mkubwa wa haki za binadamu!! Serbia wako sahihi sana kuwatolea nje!!
ni wao waliosimama kusema wanataka manadiliko ya Lowassa , ngoja wapumuliwe ss , hii ni dedication kwa wale waotaj wa mchana wanaoamin ushidn wa Urusi ni ukomboz kwao , kumbe ni kubadili mkolon kutoka wa zaman kuja mkolon mpyaSasa hivi libya vijana wanaandamana maisha magumu
ebu acha uzuz unahis Croatia , Bosnia na Slovenia bila kusahau Kossovo ni mazuzu wenzio yaan ipikwe habar wao wapo , yaan hawajavamiwa then mwingine asema wamevamiwa hlf wakae kimya , ebu fichen uchiz wenu hata kdg , Serbia iliua zipo video sio siri , pia zipo documentaryKwahiyo wewe Una waamini false flag USA !? Mpaka Leo hujui kuwa hao ni wapishi wazuri wa propaganda na wanapo taka kufanya mambo Yao kwaajili ya maslahi Yao Huwa Wana tumia dini kama Moja ya silaha zao Kwa kuwa brain wash watu , Nyie sindio mlikuwa mnasema Osama ana pigania dini ya mungu , kumbe ni CIA agent
na ndo mnakimbiliaga huko kila siku mpk mnaletwa Rwanda bado mnarud huko huko mnakodai hampendw , unafik wa hali ya juu , mudi akipata bahat ya kuona waislam wa leo atauaImagine [emoji16][emoji16][emoji16]
so hiyo ina halalishaj Serbia kuvamia majiran zake ? au Putin kuvamia Ukraine ? au India kuvamia Kashmir ? China kuvamia Taiwan ?Kuna nchi inayo ongoza Kwa kufanya hayo kama USA na NATO!? Wameua watu wangapi na wengine wakiwa acha homeless huku wengine wakiwa vilema !?