Serbia imezishika nchi za Magharibi pabaya

Usilolijua zile zilikua propaganda za nato ili wapate sababu ya kuimega serbia,
Hawa jamaa wakiamua jambo lao litakua tu hata kama sio la kweli kama wafanyavyo nchi za mashariki ya kati.
duh yaan ushabiki unakufanya umekuwa chiz kbs , hupati kitu kwenye huo uchiz wako , Unabadili mkolon tu URUSI ni USA mwingine , ebu jikite kwenye ukwel asee
 
Pumba sijui JF inawaruhusije watu kama huyu kuwepo humu , very low IQ , yaan Propaganda inafanywa sijui Croatia , Bosnia na Kossovo zitungiwe uongo zenyew zikiwa kimya tu , ila ww wa Chamwino ndo uustukie huo uongo
 
Mimi ni muislamu na sikibaliani na hilo. Walikua na plan zao zingine. Hao waislamiu ilikua ni kichaka tu kujifichia
acha upumbav fuatilia media za kihistoria za Kossovo ambayo ni nchi ya kiislamu pia ,Serbia aliua waislamu wenzio wengi tu , unafik haukusaidii chochote Urusi wala Usa hawakupiganii ww wala hawakujui
 
Kwan Iraq hakuivamia Iran au unahis kosa lilikuwa moja tu ? ushabiki unawafany vijana mnakuwa vichaa
Mabeberu ndio wanaa,na wapo tayari kuchochea au kusababisha vurugu Ili waweze kuyapata maslahi yao bila kuona aibu ,huku wakificha ukweli wa Hali ilivyo ilimradi wanajinufaisha na kile wanachokifanya,iwe Kwa kupora au kuandaa mazingira ya kupora rasilimali za sehemu husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…