duh yaan ushabiki unakufanya umekuwa chiz kbs , hupati kitu kwenye huo uchiz wako , Unabadili mkolon tu URUSI ni USA mwingine , ebu jikite kwenye ukwel aseeUsilolijua zile zilikua propaganda za nato ili wapate sababu ya kuimega serbia,
Hawa jamaa wakiamua jambo lao litakua tu hata kama sio la kweli kama wafanyavyo nchi za mashariki ya kati.
Pumba sijui JF inawaruhusije watu kama huyu kuwepo humu , very low IQ , yaan Propaganda inafanywa sijui Croatia , Bosnia na Kossovo zitungiwe uongo zenyew zikiwa kimya tu , ila ww wa Chamwino ndo uustukie huo uongoAliyekuaminisha hayo mauaji ni nani?
Je ulifanya uchunguzi wewe binafsi na kushuhudia yakitokea?
SIKIA. Media ni propaganda machine kwa nchi inayozitumia.
Hata Russia media zimesema wa Nazi wanaua watu. Ndio maana Russia ameingia ku ondoa Nazism.
Kwa kanuni yako Yuko sahihi
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
acha upumbav fuatilia media za kihistoria za Kossovo ambayo ni nchi ya kiislamu pia ,Serbia aliua waislamu wenzio wengi tu , unafik haukusaidii chochote Urusi wala Usa hawakupiganii ww wala hawakujuiMimi ni muislamu na sikibaliani na hilo. Walikua na plan zao zingine. Hao waislamiu ilikua ni kichaka tu kujifichia
Mabeberu ndio wanaa,na wapo tayari kuchochea au kusababisha vurugu Ili waweze kuyapata maslahi yao bila kuona aibu ,huku wakificha ukweli wa Hali ilivyo ilimradi wanajinufaisha na kile wanachokifanya,iwe Kwa kupora au kuandaa mazingira ya kupora rasilimali za sehemu husika.Kwan Iraq hakuivamia Iran au unahis kosa lilikuwa moja tu ? ushabiki unawafany vijana mnakuwa vichaa
SawaUna uhakika mkuu? Pale hapakua na France Bali palikua na NATO. Ambao NATO hao big three ndo walisambaza kichapo.. , France, UK, na Us