Hee nimeshtuka si nkajua sheria imepitishwa boxer marufuku tunarudi kwenye zile chu.pi za VIP! walahi ningekuwa Commando kipensi!
Dah umeniacha hoi kwa kicheko,nadhani umeshapata mateso sana na VIP.
Serious nilidhani hvy mkuu, usicheke unajua Heading nyingine utata!
hii ni sawa na kusema NCHI ZOTE DUNIANI ZIPIGE MARUFUKU MAGARI YA TOYOTA LANDCRUISER Pick UP-Mkonga maana vita zote za africa na nchi za kiarabu waasi wanazitumia ktk usafiri wa porini!wapige marufuku raia yeyote kuwa na silaha iwe kwa (umiliki wa halali au siyo halali) hapo walau ningeelewa lakii sii chombo cha usafiri.Hiyo tunajua ni mchina anaipiga vita product za india,Jee ingekuwa nao polisi wamepewa msaada pikipiki za Boxer wangesema hayo?kwa tetesi nalizopata kutoka kwa askari wa cheo cha juu katika jeshi la polisi ni kuwa serikali ipo mbioni kupiga marufuku uingizwaji wa pikippiki aina ya Bajaji (boxer) wa madai kwamba zinatumika sana katika matukio mengi ya ujambazi. ........je hii ni njia sahihi ya kupambana na uhalifi nchini hasa ujambazi?
Kuna siku kulikuwa na mechi kati ya waalimu na wanafunzi, teacher mmoja mmtu mzima alikuwa beki # 5 machachari mara huku mara kule anazunguka uwanja, mara akawa anatoka kumpisha mwingine, kwa uhaba wa jezi si akavua ampe mwingine, hope unakumbuka kuna wakati vest zilikuwa hazivaliwa sana, basi jamaa kutoa jezi ya juu watu wakashuhudia VIP imepanda usawa wa kifua! ilikuwa balaa...! si unakumbuka zilivyokuwa zinang'aa!!! Mngarooo hasa!
kuna siku kulikuwa na mechi kati ya waalimu na wanafunzi, teacher mmoja mmtu mzima alikuwa beki # 5 machachari mara huku mara kule anazunguka uwanja, mara akawa anatoka kumpisha mwingine, kwa uhaba wa jezi si akavua ampe mwingine, hope unakumbuka kuna wakati vest zilikuwa hazivaliwa sana, basi jamaa kutoa jezi ya juu watu wakashuhudia vip imepanda usawa wa kifua! Ilikuwa balaa...! Si unakumbuka zilivyokuwa zinang'aa!!! Mngarooo hasa!
kwa tetesi nalizopata kutoka kwa askari wa cheo cha juu katika jeshi la polisi ni kuwa serikali ipo mbioni kupiga marufuku uingizwaji wa pikippiki aina ya Bajaji (boxer) wa madai kwamba zinatumika sana katika matukio mengi ya ujambazi. ........je hii ni njia sahihi ya kupambana na uhalifi nchini hasa ujambazi?
Yaani we acha tu... Huyu jamaa atakuwa amefurahisha wengi!Dah umeniacha hoi kwa kicheko,nadhani umeshapata mateso sana na VIP.
Kwa sisi wakazi wa dar marufuku hiyoingesaidia sana maanami mwenyewe nimestuka sana, nikajiuliza tutavaa nini.
Yaani we acha tu... Huyu jamaa atakuwa amefurahisha wengi!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hee nimeshtuka si nkajua sheria imepitishwa boxer marufuku tunarudi kwenye zile chu.pi za VIP! walahi ningekuwa Commando kipensi!
Mkuu ni kweli sijatunga; yaani mbaya zaidi ticha ndo design zile za wanoko ile mbaya........mbona siku hiyo liliimshuka na akapata jina la aina hy ya chu.pi!
acheni jamani hadi watu wanang'ang'ania gesi kuna mambo yashavumiliwa sana! kuna wakatii nasikia kuva chupi ilikuwa ni kwa matajiri tu wa wakati huo!