IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
Kuna siku kulikuwa na mechi kati ya waalimu na wanafunzi, teacher mmoja mmtu mzima alikuwa beki # 5 machachari mara huku mara kule anazunguka uwanja, mara akawa anatoka kumpisha mwingine, kwa uhaba wa jezi si akavua ampe mwingine, hope unakumbuka kuna wakati vest zilikuwa hazivaliwa sana, basi jamaa kutoa jezi ya juu watu wakashuhudia VIP imepanda usawa wa kifua! ilikuwa balaa...! si unakumbuka zilivyokuwa zinang'aa!!! Mngarooo hasa!
weka picha ya boxer watu waonekwa tetesi nalizopata kutoka kwa askari wa cheo cha juu katika jeshi la polisi ni kuwa serikali ipo mbioni kupiga marufuku uingizwaji wa pikippiki aina ya bajaji (boxer) wa madai kwamba zinatumika sana katika matukio mengi ya ujambazi. ........je hii ni njia sahihi ya kupambana na uhalifi nchini hasa ujambazi?
Hee nimeshtuka si nkajua sheria imepitishwa boxer marufuku tunarudi kwenye zile chu.pi za VIP! walahi ningekuwa Commando kipensi!
Dah umeniacha hoi kwa kicheko,nadhani umeshapata mateso sana na VIP.
Loooh!!Hee nimeshtuka si nkajua sheria imepitishwa boxer marufuku tunarudi kwenye zile chu.pi za VIP! walahi ningekuwa Commando kipensi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hee nimeshtuka si nkajua sheria imepitishwa boxer marufuku tunarudi kwenye zile chu.pi za VIP! walahi ningekuwa Commando kipensi!
mecheka hatarKuna siku kulikuwa na mechi kati ya waalimu na wanafunzi, teacher mmoja mmtu mzima alikuwa beki # 5 machachari mara huku mara kule anazunguka uwanja, mara akawa anatoka kumpisha mwingine, kwa uhaba wa jezi si akavua ampe mwingine, hope unakumbuka kuna wakati vest zilikuwa hazivaliwa sana, basi jamaa kutoa jezi ya juu watu wakashuhudia VIP imepanda usawa wa kifua! ilikuwa balaa...! si unakumbuka zilivyokuwa zinang'aa!!! Mngarooo hasa!