Serekali kupiga marufuku Boxer

Serekali kupiga marufuku Boxer

Kuna siku kulikuwa na mechi kati ya waalimu na wanafunzi, teacher mmoja mmtu mzima alikuwa beki # 5 machachari mara huku mara kule anazunguka uwanja, mara akawa anatoka kumpisha mwingine, kwa uhaba wa jezi si akavua ampe mwingine, hope unakumbuka kuna wakati vest zilikuwa hazivaliwa sana, basi jamaa kutoa jezi ya juu watu wakashuhudia VIP imepanda usawa wa kifua! ilikuwa balaa...! si unakumbuka zilivyokuwa zinang'aa!!! Mngarooo hasa!

mkuu wala hujakosea tatizo la hizi chupi za VIP zilikuwa zinakatika katikati ya mapaja so inaanza kupanda juu
 
Mimi VIP ishawahi kunikatikia shuleni halafu muda wa mapumziko saa nne ushapita patamu hapo niliiona siku ndefu kinoma sisimami kutoka kwenye dawati! Hapo kikamba cha kati kishakatika ngoma inakitafuta kifua daah ilipofika saa nane kengele kugonga tu nilitoka class natembea kama mgambo kuwahi home kubadili VIP then imagine enzi hizo ni zile za kung fu shoes chini nimepiga kung fu shoes natembea kama mgambo nimebana mikono VIP isipande kifuani! Yaani hata mimi hii heading ilinishtua sana nikajua tunarudishwa kwenye VIP na umri huu ikikukatikia kazini si lunch time unajifanya umefunga kumbe kitu kinatafuta chest!
 
kwa tetesi nalizopata kutoka kwa askari wa cheo cha juu katika jeshi la polisi ni kuwa serikali ipo mbioni kupiga marufuku uingizwaji wa pikippiki aina ya bajaji (boxer) wa madai kwamba zinatumika sana katika matukio mengi ya ujambazi. ........je hii ni njia sahihi ya kupambana na uhalifi nchini hasa ujambazi?
weka picha ya boxer watu waone
 
Wizi kwa kutumia pikipiki unatisha sasa wamiliki. Wote wa pikipiki wasajiliwe Kama simu
 
inasemekana zinatumika sana kwenye wizi kwasababu zinakimbia sana kuliko sanLg na zingine. nilijiuliza hivi sanlg na zingine hazitumiki kwenye wizi/ujambazi?.....au kuna sababu zingine? tukipata polisi mmoja humu ndani jf atueleze.
 
V.I.P zilikuwa ukivaa zinakatika alafu zinapanda juu mpaka kichwani
 
Hee nimeshtuka si nkajua sheria imepitishwa boxer marufuku tunarudi kwenye zile chu.pi za VIP! walahi ningekuwa Commando kipensi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna siku kulikuwa na mechi kati ya waalimu na wanafunzi, teacher mmoja mmtu mzima alikuwa beki # 5 machachari mara huku mara kule anazunguka uwanja, mara akawa anatoka kumpisha mwingine, kwa uhaba wa jezi si akavua ampe mwingine, hope unakumbuka kuna wakati vest zilikuwa hazivaliwa sana, basi jamaa kutoa jezi ya juu watu wakashuhudia VIP imepanda usawa wa kifua! ilikuwa balaa...! si unakumbuka zilivyokuwa zinang'aa!!! Mngarooo hasa!
mecheka hatar
 
Back
Top Bottom