ilaamekomaa kinoma😀😀Mwanaume mzuri huyu kiufupi serena amepata mume mwema atulie..nilisikia mahal wanasema bibie alikua anapondwa na mablack wanaume kua et kakomaa sana ndo maana akaamua ajibebe mzungu wake!ndoa ni kitu chema kila lakheri Bibie.
natamani na mimi demu wa kizungu kwa kweli mbele huko raha sana mfano usa ukitaka chinese unapata ukitaka japanese coz ni mchanganyiko mzuri wa watu wa marekan mbaka familia zimechanganyikana raha kishenzi sio rangi mojaa kijiji kizimaSerena Williams amefunga ndoa na mwanzilishi mwenza wa Reddit Alexis Ohanian katika harusi kubwa iliojaa mbwembwe za aina yake ya mwaka huu.
Nyota akiwemo Beyonce, Kim Kardashian na Eva Longoria walikuwa katika harusi hiyo iliofanyika katika eneo la New Orleans siku ya Alhamisi.
Sherehe hiyo ilikuwa na wageni 200 katika orodha ya wageni kulingana na vyombo vya habari.
Eneo moja kubwa la mji lilifungwa kwa sherehe hiyo ambayo ilifanyika katika kituo cha Contemporary Arts Center.
Wageni wengine ni pamoja na nyota Caroline Wozniack, Kelly Rolland ,Ciara, La La Anthony na muhariri wa jarida la Vogue Anna Wintour kulingana na gazeti la daily mail.
Limeripoti kwamba harusi hiyo iligharimu dola milioni 1 huku wageni wakiagizwa kutoingia na simu zao kutokana na mkataba na jarida la Vogue.
View attachment 632724
Serena alijifungua mtoto wao wa kwanza wa kike Alexis Olympia, miezi miwli iliopita.
mkiambiwa msizae mbaka harusi mnaona mnabaniwa haya ona huyu mtindi huooo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mambo namna gani tena
mtoto atakuwa mzurii sana kwa hiyo interracial ya nguvu wamenoga kinomaNaongeza picha Numbisa I hope you won't mind..View attachment 633039 View attachment 633040 View attachment 633041 View attachment 633042 View attachment 633043 View attachment 633044 View attachment 633045
hiyo wewe tu mablack wanagombana kila leo nyumbani kwake ukusikia hiyo sema huyu zungu ni jamaa yake kitambo wanagombana na wanapatanaMwanaume mzuri huyu kiufupi serena amepata mume mwema atulie..nilisikia mahal wanasema bibie alikua anapondwa na mablack wanaume kua et kakomaa sana ndo maana akaamua ajibebe mzungu wake!ndoa ni kitu chema kila lakheri Bibie.
waafrica hampendanagi tena utakuwa ke wewe serena mrembo kinomaHapo utafikiri serena ndio mwanaume [emoji23][emoji23]
ya kwake hiyo ulidhani ya dr shika naona unawashwawashwa sanaNilidhani Serena hotel
usa mchanganiko kinoma now wajapan wanaolewa na black yaan kitu penda ndugu naipenda usa kinoma yaanikwanini wazungu sikuhizi wamekua wanapenda sana wanawake waeusi.
maongezi yenu tu ya vijiweni kila binadam tupo sawa rangi na nywele tu tofautiK zao ni za moto zina joto
ana mguu matata sana!
Kwako ndio magumu...mwenzako kapendea huo ugumu ....pole sana.Ila Serena ana ma.tako magumuuuu balaa, mwanamke lazima awe soft bana.. kila la kheri kwake
[emoji23] [emoji23] [emoji23]mkiambiwa msizae mbaka harusi mnaona mnabaniwa haya ona huyu mtindi huooo
ya kushibaHizo nyonyo tu dah