Serengeti: Adaiwa kumuua mumewe siku 14 baada ya kufunga ndoa, kisa si chaguo lake

mkuu, huyo tayari zilishamruka. awahishwe hospital tu
 
She is lunatic masikini!
 
Bado ni mdogo Sana kumlazimisha ndoa!
Angekuwa kapevuka akili angelikimbia ...lakini akili mdogo haikuwaza Hilo ..Na ndio maana hajali maana...bado ni mdogo!
Wakimtendea Haki ..hatanyongwa Wala kufungwa maisha!

Wazazi wa pande zote wamekula hasara!



Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Toto jinga sana hilo, ila wilaya za Tarime na Serengeti hayo matukio ni kawaida kabisa kama biashara ya nyeti za kiume China.
Oooh...!? Nyeti za kiume zinatakiwa china eeeh?. Kama ninazo mboro mbili si nikawauzie moja
 
Ndio ndoa hizo. Mtu anawaambia kabisa hampendi huyo mtu au anawaambia kabisa napigwa sana na kuteswa,bado wazazi mnang'ang'aniza tu nenda tu kwa mumeo ndio ndoa zilivyo,na sisi tuliishi hivyo. Binti ameamua kukatisha sasa,alikuwa hana namna nyingine
 
Bora ww umefikiria kiume....nimekupenda bure..ukiwa hujanywa kumbe zinachaji
Hahahaha
Basi nikiwa tungi akili ndiyo inachaj mbaya

Ila ndiyo hivyo huyo mwanamke inaelekea alipitia manyanyaso sana ya mwanaume
Ndomana amemfanyia kitu mbaya

Ova
 
Dompo [emoji23]
Mke/dem kukufanyia kitu mbaya rahisi sana kwa mwanaume,akikulilia timing hakukosi
Maana mtalala pamoja,anakupikia chakula na kukupakulia, mpaka hapo atakukosa kweli
[emoji23][emoji23]

Ova
 
Kwangu naona bint ameolewa akiwa na umri mdogo wa kujua maswala ya Ndoa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…