Serengeti: Baba afumwa akishiriki ngono na Binti yake wa miaka 11

Haya mambo yapo sana kanda ya ziwa...nilikua naangalia kipindi flan TBC mambo mengi wanamaliza kifamilia...ndo shida inapoanzia
Mkuu si kweli kuwa Ni kanda ya ziwa tu,sema Tanzania mzima,nimekuwa Lindi kwa miaka 10 kesi hizi nimezisikia sana na zingine nilihusika katika usuruhishi,je Lindi nayo ni kanda ya ziwa? Au tamaa za ngono zina ukanda.?

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 

Daah... hii ni ushirikina ni nini? Au ni mwanasiasa guyu anatafuta mitano tena?
 
Huyo Mzee naye amezingua. Ngoja alipie tu maovu yake yote aliyotenda hapa duniani. Yaani mtoto wako ndiyo umfanyie ujinga huo!! That is too much.
 
Hiyo mikoa ya huko Kuna ujinga mwingi sana wa kudhalilisha wanawake
 
Napinga hili,kumfungia kwenye nguruwe ni kuwaonea hao wanyama na kutuharibia chakula,yaani awapande nguruwe wamekosa nini,huyo ahasiwe kabisa au akatwe kikojoleo kama sio kunyongwa
 
gNapinga hili,kumfungia kwenye nguruwe ni kuwaonea hao wanyama na kutuharibia chakula,yaani awapande nguruwe wamekosa nini,huyo ahasiwe kabisa au akatwe kikojoleo kama sio kunyongwa
Hapana ukimyonga utampa hadhi ya kina Mkwawa, ukimhasi atanenepa
kama atachafua nguruwe basi awe anapewe viagra kila siku jioni na kufungiwa bandani mwenyewe halafu asubuhi wanampa P2 ili asijipe mimba. Maana inawezekana mtoto wake kamnywesha sana p2 asishike mimba.
 
[emoji3][emoji3]
 
Daah ila huyu mzee bwege sana aisee!! Sijui hali anayokuwa nayo mtoto aisee.. Uyu anatakiwa Jela maisha
 
Nilivyoona serengeti nikajua kamuingilia pundamilia kumbe ni hivi ......loh
 
Acha kudhalilisha mboga yetu takatifu.
 
Sema akibaka na sio kishiriki, kushiriki inamaana kuna watu wawili wenye nia moja ambapo kwa hii sio kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…