digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu si kweli kuwa Ni kanda ya ziwa tu,sema Tanzania mzima,nimekuwa Lindi kwa miaka 10 kesi hizi nimezisikia sana na zingine nilihusika katika usuruhishi,je Lindi nayo ni kanda ya ziwa? Au tamaa za ngono zina ukanda.?Haya mambo yapo sana kanda ya ziwa...nilikua naangalia kipindi flan TBC mambo mengi wanamaliza kifamilia...ndo shida inapoanzia
Polisi wilaya ya Serengeti mkoani Mara inamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chamoto, Ikwabe Gibogo (58) kwa tuhuma za kumwingilia kimwili mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka (11).
Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Chacha Nyambuche amekiri mtuhumiwa kukamatwa Januari 23, 2021 usiku baada ya polisi kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema na kumkuta nyumbani kwake amelala chini pamoja na mtoto huyo wote wakiwa hawajavaa nguo.
Mmoja wa majirani amesema mtoto huyo ameingiliwa kwa muda mrefu na baada ya kujiridhisha waliamua kutoa taarifa kwa kiongozi wa kitongoji na polisi walipofika waliwapa ushirikiano.
“Huyo mtoto hajaanza shule mpaka sasa, mama yao aliachana na baba yao baada ya kubaini anamuingilia mtoto wake mkubwa. Aliondoka na watoto wadogo kwenda Simiyu, hata hivyo, alifariki dunia ndipo mtuhumiwa akafuata watoto na kuja kuishi nao,” amesema jirani huyo kwa sharti la kutotajwa jina.
Napinga hili,kumfungia kwenye nguruwe ni kuwaonea hao wanyama na kutuharibia chakula,yaani awapande nguruwe wamekosa nini,huyo ahasiwe kabisa au akatwe kikojoleo kama sio kunyongwaHuyu anatakiwa afugwe zizini na nguruwe. Akae banda moja na nguruwe mpaka kifo chake. Awekewe sehemu yake ya kula ila iwe chini kama nguruwe ili kumfanya ajione bado ana hadhi sababu anafanana na binadamu. Manguruwe yakiwa kwenye heat apewe kama atajisikia ayapande akisusa wapewe nguruwe wengine.
Hapana ukimyonga utampa hadhi ya kina Mkwawa, ukimhasi atanenepagNapinga hili,kumfungia kwenye nguruwe ni kuwaonea hao wanyama na kutuharibia chakula,yaani awapande nguruwe wamekosa nini,huyo ahasiwe kabisa au akatwe kikojoleo kama sio kunyongwa
[emoji3][emoji3]Hapana ukimyonga utampa hadhi ya kina Mkwawa, ukimhasi atanenepa
kama atachafua nguruwe basi awe anapewe viagra kila siku jioni na kufungiwa bandani mwenyewe halafu asubuhi wanampa P2 ili asijipe mimba. Maana inawezekana mtoto wake kamnywesha sana p2 asishike mimba.
Hebu nikuswalike kidogo.Duh it's sad baba kwa mtoto[emoji19] laana hii
Hapana mkuu! Si mimi huyo, umemkumbuka your primary lover eeh😀Hebu nikuswalike kidogo.
Huyo wa kwenye avatar ni wewe?. Anafanana sana na mpenzi wangu wa primary.
Acha kudhalilisha mboga yetu takatifu.Huyu anatakiwa afugwe zizini na nguruwe. Akae banda moja na nguruwe mpaka kifo chake. Awekewe sehemu yake ya kula ila iwe chini kama nguruwe ili kumfanya ajione bado ana hadhi sababu anafanana na binadamu. Manguruwe yakiwa kwenye heat apewe kama atajisikia ayapande akisusa wapewe nguruwe wengine.
Mboga yenu takatifu ishatetewa na watumizi huko mbele.Acha kudhalilisha mboga yetu takatifu.
Aisee sasa ikawaje ukapoteza dodo hivo mkuu😀Nilivyoona hiyo picha nimemkumbuka hadi naumwa.
Alikuwa na jicho akikuangalia, unaweza ukahisi uko nae peponi mnacheza gofu na wakina Whitney Houston.