digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu si kweli kuwa Ni kanda ya ziwa tu,sema Tanzania mzima,nimekuwa Lindi kwa miaka 10 kesi hizi nimezisikia sana na zingine nilihusika katika usuruhishi,je Lindi nayo ni kanda ya ziwa? Au tamaa za ngono zina ukanda.?Haya mambo yapo sana kanda ya ziwa...nilikua naangalia kipindi flan TBC mambo mengi wanamaliza kifamilia...ndo shida inapoanzia
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app