Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Bora nimwage mchele chini, nianze kuokota punje moja moja... Kuliko kupoteza muda kuangalia ushenzi..Mufasa ni baba yake Simba. Wewe hutaelewa kaangalie kwanza Film inaitwa The Lion king. La sivyo hapa natwanga maji kwenye kinu.
ET simba anaitwa Mustafa..
Punguzaga ujuaji yeye Ramos hajasema Kama katoa huo msemo kwenye hiyo movie.
Ila wewe unashoboka "kaitoa humo nna uhakika "
Bure kabisa..