Sergio Ramos katumia Kiswahili katika akaunti yake

Sergio Ramos katumia Kiswahili katika akaunti yake

Mufasa ni baba yake Simba. Wewe hutaelewa kaangalie kwanza Film inaitwa The Lion king. La sivyo hapa natwanga maji kwenye kinu.
Bora nimwage mchele chini, nianze kuokota punje moja moja... Kuliko kupoteza muda kuangalia ushenzi..
ET simba anaitwa Mustafa..

Punguzaga ujuaji yeye Ramos hajasema Kama katoa huo msemo kwenye hiyo movie.
Ila wewe unashoboka "kaitoa humo nna uhakika "

Bure kabisa..
 
Wewe mama nae zimekuruka..

Kwanini usingesema unamjua simba tungeelewa..
Sasa Wewe eti unamjua Mustafa?? watu ambao hatujaangalia tutajua ni mtu Kumbe simba..!

Eti unamjua Mustafa..!sema simba.. Wewe unaemjua yuko wapi kwa sasa huyo Mustafa [emoji3][emoji3][emoji3]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu ni MUFASA maana yake Mfalme


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Bora nimwage mchele chini, nianze kuokota punje moja moja... Kuliko kupoteza muda kuangalia ushenzi..
ET simba anaitwa Mustafa..

Punguzaga ujuaji yeye Ramos hajasema Kama katoa huo msemo kwenye hiyo movie.
Ila wewe unashoboka "kaitoa humo nna uhakika "

Bure kabisa..
Hadi aseme?Huna akili za kudetect ?
 
Cha ajabu kipo wapi ? Inferioty complex inawasumbua. Mzungu akitumia kiswahili mnaona deaaalllllll?
Mkuu achana na hao vijana wa Tandale na Buza wanajua movie za kina kingwendu ... Sidhani kama wameshawahi kufika hata hapo tarangire au ngorongoro waone hiyo misemo inavyosemwa na wazungu kama wanakunywa maji...


Nchi hi imeharibu Sana vijana laiti vijana wangepewa exposure ya walau kutembea wasingekuwa wanashangaa huu ujinga...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe huwa una utoto.. Na si mara ya kwanza mtu kukwambia una utoto leo.... Beyonce alivyoimba kiswahili watu wakapost humu,mbona hamkupeleka kengele zenu huko...pita tu kama hujapenda
African are Shits... Sasa mtu kutumia lugha ya kiswahili ndio unakuja kufungua Uzi ... Sisi kila siku tunaandika na kutamka Kiingereza ila sijawahi kusikia muingereza pale England anashangaa kwa msukuma au mgogo kuzungumza kiswahili ....




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cheki comment za hiyo post
Yeye atakuwa anajua hiyo ni slogan ya wakenya. Jamaa kwa wizi hawajambo
Screenshot_2020-01-18-22-11-29.jpeg
Screenshot_2020-01-18-22-11-37.jpeg
Screenshot_2020-01-18-22-11-48.jpeg
Screenshot_2020-01-18-22-11-56.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili Kama hizi ni ushahidi tosha nchi hii imejaa vijana misukule ...


Nenda mbuga za wanyama this high season uone maajabu ya wageni na hizo sloga wewe zwazwa wa Tandale

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekazana tandale, tandale
au unadhani anakaa tandale kama wewe?

Hiyo inferiority complex Wewe ndo inakusumbua sasa..
Vya kwenu unaona mavi vya watu ndo Dili..!
Unahamasisha waangalie hiyo movie ya Disney.. Kwanini usihamasishe waangalie movie za kiafrika mbona ziko nyingi?

Kosa lake lipi sasa kuileta hiyo habari hapa ikiwa jf sio ya babako wala yako??

Shwain
 
Back
Top Bottom