Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Bora nimwage mchele chini, nianze kuokota punje moja moja... Kuliko kupoteza muda kuangalia ushenzi..Mufasa ni baba yake Simba. Wewe hutaelewa kaangalie kwanza Film inaitwa The Lion king. La sivyo hapa natwanga maji kwenye kinu.
Cha ajabu kipo wapi ? Inferioty complex inawasumbua. Mzungu akitumia kiswahili mnaona deaaalllllll?Whatever ilimradi lugha yetu imetumika
Disney walitaka kuimiliki eti kisa wanaitumia kwenye The Lion King.Hiyo slogan ilikua na utata ,kipi cha nyuma nani ana rights za kuitumia
MTC | 101| [emoji769]
Wewe mama nae zimekuruka..
Kwanini usingesema unamjua simba tungeelewa..
Sasa Wewe eti unamjua Mustafa?? watu ambao hatujaangalia tutajua ni mtu Kumbe simba..!
Eti unamjua Mustafa..!sema simba.. Wewe unaemjua yuko wapi kwa sasa huyo Mustafa [emoji3][emoji3][emoji3]
Yeah na wakenya nao kupitia nadhani bendi Fulani wakawa wanadai ,sijui nani alishindaDesney walitaka kuimiliki eti kisa wanaitumia kwenye The Lion King.
Sio lazima aniambie,huoni hapo kaweka emoji ya Simba?UNAMJUA Mufasa WA KWENYE king Lion?Yaani bila shaka mkabisa najua kautoa humo.
Cha ajabu kipo wapi ? Inferioty complex inawasumbua. Mzungu akitumia kiswahili mnaona deaaalllllll?
Hadi aseme?Huna akili za kudetect ?Bora nimwage mchele chini, nianze kuokota punje moja moja... Kuliko kupoteza muda kuangalia ushenzi..
ET simba anaitwa Mustafa..
Punguzaga ujuaji yeye Ramos hajasema Kama katoa huo msemo kwenye hiyo movie.
Ila wewe unashoboka "kaitoa humo nna uhakika "
Bure kabisa..
Kaanglia the Lion King. Hakuna cha ajabu hapo.Wewe unaona hiyo ni kawaida...Mhispaniola na kiswahili wap na wap.... Tatizo mnapenda kuonekana majuu sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ni chenga tupu mkuu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu ni MUFASA maana yake Mfalme
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkuu achana na hao vijana wa Tandale na Buza wanajua movie za kina kingwendu ... Sidhani kama wameshawahi kufika hata hapo tarangire au ngorongoro waone hiyo misemo inavyosemwa na wazungu kama wanakunywa maji...Cha ajabu kipo wapi ? Inferioty complex inawasumbua. Mzungu akitumia kiswahili mnaona deaaalllllll?
African are Shits... Sasa mtu kutumia lugha ya kiswahili ndio unakuja kufungua Uzi ... Sisi kila siku tunaandika na kutamka Kiingereza ila sijawahi kusikia muingereza pale England anashangaa kwa msukuma au mgogo kuzungumza kiswahili ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kudetect hisia na opinion za mtu..Hadi aseme?Huna akili za kudetect ?
Akili Kama hizi ni ushahidi tosha nchi hii imejaa vijana misukule ...Wewe unaona hiyo ni kawaida...Mhispaniola na kiswahili wap na wap.... Tatizo mnapenda kuonekana majuu sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaanglia the Lion King. Hakuna cha ajabu hapo.
Akili Kama hizi ni ushahidi tosha nchi hii imejaa vijana misukule ...
Nenda mbuga za wanyama this high season uone maajabu ya wageni na hizo sloga wewe zwazwa wa Tandale
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye atakuwa anajua hiyo ni slogan ya wakenya. Jamaa kwa wizi hawajambo
Yaani ni chenga tupu mkuu..
Sielewi tena bado ananiuliza badala ya kunifafanulia.. Mufasa ni mfalme?? Duh
Umekazana tandale, tandaleAkili Kama hizi ni ushahidi tosha nchi hii imejaa vijana misukule ...
Nenda mbuga za wanyama this high season uone maajabu ya wageni na hizo sloga wewe zwazwa wa Tandale
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hata huo muda wa kuangalia huyo mufasa mkuu.. nisimulieni tuuMufasa kwenye Lion king kama umeangalia
Sent from my iPhone using Tapatalk