Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Haya pongezi kwa awamu ya 5......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nionyeshe tusi nililotukana.Tumia ubongo wako vizuri. MUNGU amekupa ubongo wenye neurons billion 100.Tumia ubongo wako kung'amua mambo.Sishangai kutrend kwako... Nashangaa kilichokufanya utrend... Wivu...Acha wivu na kutukana watu
Haya tusameheane yaishe... Sababu mimi neurons nimeacha kuzisoma O'level.Nionyeshe tusi nililotukana.Tumia ubongo wako vizuri. MUNGU amekupa ubongo wenye neurons billion 100.Tumia ubongo wako kung'amua mambo.
Kimewasaidia nini ? Kuongea peferct and pure wakati wanaotangaza kwa kiswahili kwenye ndege za Qatar na Emirates ni wakenya. Baki kujisifia unaongea perfect and pure. Mombasa nao waseme nini ?Lakini inajulikana sisi ndo huongea kiswahili pure na perfect
Kwa nn hao wakenya wako hawakuchukuliwa kwenda kufundisha kiswahili Afrika kusini na Ethiopia? Kama hakitusaidii sisi.Kimewasaidia nini ? Kuongea peferct and pure wakati wanaotangaza kwa kiswahili kwenye ndege za Qatar na Emirates ni wakenya. Baki kujisifia unaongea perfect and pure. Mombasa nao waseme nini ?
Page hiyo mzee...verification tick ipo upande wa juu ukiscroll upwards.Huyo Ramos wako mwenyewe kimeo tu anashindwa kuwa na verified account?
Wewe na nan mmewauzia
Muite mwanao hakuna matata kama utaenda mahakamaniKama haujui uwe MPOLE na uulize kwa wanaojua.
Jaribu kutengeneza filamu alafu uiite HAKUNA MATATA.UONE kitakacho kutokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muite mwanao hakuna matata kama utaenda mahakamani
Hujui kama wakenya ndo walikwenda South ? Kuna watanzania wamekwenda South na Ethiopia ? Au unaamini maneno ya Kabudi ? Hadi huruma,hili taifa lina safari ndefu kwa kweli.Kwa nn hao wakenya wako hawakuchukuliwa kwenda kufundisha kiswahili Afrika kusini na Ethiopia? Kama hakitusaidii sisi.
Kwanza kabisa ulisema huwezi kuongea na mtu anayeitwa Boy..Sio ujuaji bwana Mkuu
Binafsi yangu naonaga tuu ni mtu mwenye exposure na vitu mbali mbali
Na ndio hupelekea kuonekana kufahamu vitu vingi and simply we call her mjuaji Na mbona Hii hata mtaani( Ofisini, Vyuoni nk) , ipo hii ukiwa una ufahamu na vitu vingi unaonekana mjuaji Au unajifanya unajua
Naongea uongo ?
So hata humu Jf wala si ajabu kuitwa mjuaji.
Pancho boy isidingo si wamesitisha production Mkuu Au isidingo gani [emoji3] [emoji3]
Cheki unavyobadili Mada 😀😀😀Hujui kama wakenya ndo walikwenda South ? Kuna watanzania wamekwenda South na Ethiopia ? Au unaamini maneno ya Kabudi ? Hadi huruma,hili taifa lina safari ndefu kwa kweli.
Huu ujuaji wa kubashiri yaliyo moyoni mwa mtu ni ujinga kama sio uzee unakusumbuaYes ni mjuaji sijakataa najaua mambo mengi mno ambayo wewe huyajui.
na ndio inavyojulikanaga hiVyoYeye atakuwa anajua hiyo ni slogan ya wakenya. Jamaa kwa wizi hawajambo
Wewe lugha yako ni ipi?Lugha yako kivipi?
Lugha yako ni kisukuma,etc!
Kiswahili ni cha Waswahili wanakaa Pwani!
Hizi fake prides sijui mnatoa wapi!
Usiseme Mustafa, sema Mufasa.Bora nimwage mchele chini, nianze kuokota punje moja moja... Kuliko kupoteza muda kuangalia ushenzi..
ET simba anaitwa Mustafa..
Punguzaga ujuaji yeye Ramos hajasema Kama katoa huo msemo kwenye hiyo movie.
Ila wewe unashoboka "kaitoa humo nna uhakika "
Bure kabisa..
Au huna backup kwa sasa? 😀😀pancho boy una ulivyo kilaza. Sasa niwakimbie ili iweje ? Unadhani maisha yangu ni JF tu?Nisipokuwepo basi nimekimbia. Kuna maisha zaidi ya JF bwana. Kamwe siwezi kimbia mtu.
Sasa mbona mama huyo alinambiya ni Mustafa? au naye kasimuliwa?