Wengi hawajui kama wewe.. Huku kitaa wengi wamemjua Ciro akiwa hapo Lazio...Angalia hizo timu ulizotaja ni ipi alivuka goli kumi tofauti na Torino..... Sasa huku bongo nan aache kufuatilia mastraika wakali wa ligi pendwa aanze kumfuatilia Ciro wa kipindi hicho... Wewe usianze kunitajia kunionyesha umwamba coz na mimi nazijua vizuri tu.
Ok hadi sasa ndiye top scorer wa ligi zote ulaya kwa sasa akiwa na 26 goals akikusanya jumla ya pointi 52 katka magoli hayo...kingine?Immobile kabla yakwenda BVB alifunga magoli 22 kwenye ligi na kuwa top score. Alafu Lazio hajafanya kitu kipya chakushangaza mpaka ufungue uzi bora ata ungefungua uzi kuhusu Atalanta Bergamasca
Usibushane na Huyo Dogo Hana analojua kuhusu Seria AImmobile kabla yakwenda BVB alifunga magoli 22 kwenye ligi na kuwa top score. Alafu Lazio hajafanya kitu kipya chakushangaza mpaka ufungue uzi bora ata ungefungua uzi kuhusu Atalanta Bergamasca
Lazio moja hiyoNatamani kwa msimu huu kombe liende inter au Lazio na isiwe Junvetus
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kila mtu anakwambia wewe ni mtoto humu. Na mimi nasisitiza acha utoto dogo wa tisini wewe usibishane na wakubwa zako.
Tatizo la inter akikutana na Juve au Lazio hata Roma anakuwa na asilimia kubwa ya kuacha pointMsimu huu bingwa wa Seria A ni InterMilan. Team imekamilika kila idara. Kama unabisha subiri uone
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa badala ajadili mpira anatoa matusi aiseeSidhani hata kama gemu anacheki... Yeye anajua matusi ya Hollywood tu...watoto wengine bhana.
Shukrani mkuu kwa kurahisisha kazi... Eti tumemjulia Genoa... Nan amfuatilie straika wa Genoa mwenye stats za hivyo kipindi hicho... Mashabiki wengi wa soka wamemjua Ciro kutokana na moto anaouwasha Lazio. Hilo halina ubishi.Jamaa badala ajadili mpira anatoa matusi aisee
Ciro immobile kawika sana Lazio
Angalia stats zake
View attachment 1361009View attachment 1361011View attachment 1361015
Wewe Serie B ulikuwa unaiangalia chaneli gan au walikuwa wanairusha kwenye gazeti gan la michezo?Hujielewi wewe alipokuwa pescara msimu mmoja magoli 28.... Nyie Kama mmemjua Leo Ni nyie sio ss
Sent using Jamii Forums mobile app
Seria B unaifatilia wapi?Hujielewi wewe alipokuwa pescara msimu mmoja magoli 28.... Nyie Kama mmemjua Leo Ni nyie sio ss
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa badala ajadili mpira anatoa matusi aisee
Ciro immobile kawika sana Lazio
Angalia stats zake
View attachment 1361009View attachment 1361011View attachment 1361015
Alichezea Torino akafunga mabao 22....je kati ya hicho kipindi na hichi cha sasa,Ni kipi watu wamemjua zaidi huyu mwamba?2013/14 hakucheza mpira?
Alichezea Torino akafunga mabao 22....je kati ya hicho kipindi na hichi cha sasa,Ni kipi watu wamemjua zaidi huyu mwamba?
Magoli aliyofunga msimu huu serie A hadi sasa ambapo msimu upo katikati alishayafikisha tena msimu gani huko nyuma?Hamna kipya kwa Ciro wala Lazio misimu ya karibuni kiwango chao huwa hivyo labda msimu huu wajitahidi waende uefa.Sijaona wakumzuia Juve kuchukua scudetto
Hata hao juve unaowapigia upatu nao walikalia tatu - moja supercup... Tukubali tu hawa wanaume kwa sasa wapo fiti.Hamna kipya kwa Ciro wala Lazio misimu ya karibuni kiwango chao huwa hivyo labda msimu huu wajitahidi waende uefa.Sijaona wakumzuia Juve kuchukua scudetto
Magoli aliyofunga msimu huu serie A hadi sasa ambapo msimu upo katikati alishayafikisha tena msimu gani huko nyuma? Lazio mara ya mwisho kuwa wa pili ni lini? Mara ya mwisho Lazio kumuacha GD kumi juve ni lini...Halafu unasema hiyo ni kawaida kwa Lazio!!! Kweli?
Kacheki gemu ya Lazio mzee... Watu wanapiga boli..,wamedhamiria.
Kakujibu mdau hapo chiniHujui kitu huo mpira wanaocheza Lazio unacgezwa na Napoli na Atalanta na haujaanza msimu huu Juventus huwa anazidiwa GD karibu kila msimu
No lazio wazuri kuliko napoli ya mwaka jana na juzi hawa wanaupiga mwingi balaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha jidanganyeNaona watu wanatafuta vichaka vya kujificha baada ya EPL kuwa ligi ya timu moja tu.