kichekoh
JF-Expert Member
- Sep 19, 2015
- 1,376
- 1,479
- Thread starter
- #241
Wa kwanza kanitimulia vumbi liingilie puani.
Wa pili kaongea na simu sikioni mwangu
wa tatu kanitamanisha chakula kiingine mdomoni mwangu
mwingine kanishika mwili wangu.
Wa tano kataka nimwoneshe jambo ambalo halioni.
Hao ndio watu ninaoishi nao.
Wa pili kaongea na simu sikioni mwangu
wa tatu kanitamanisha chakula kiingine mdomoni mwangu
mwingine kanishika mwili wangu.
Wa tano kataka nimwoneshe jambo ambalo halioni.
Hao ndio watu ninaoishi nao.