ummtotomlito
JF-Expert Member
- Aug 30, 2014
- 535
- 644
Inaikaribia 24???? Maana daaaah 24 mm ishaniroga kabisa...juzi nimemaliza kurudia season 9 kwa Mara ya tano
Sijui maana sijawah angalia 24
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaikaribia 24???? Maana daaaah 24 mm ishaniroga kabisa...juzi nimemaliza kurudia season 9 kwa Mara ya tano
Inaikaribia 24???? Maana daaaah 24 mm ishaniroga kabisa...juzi nimemaliza kurudia season 9 kwa Mara ya tano
Inaikaribia 24???? Maana daaaah 24 mm ishaniroga kabisa...juzi nimemaliza kurudia season 9 kwa Mara ya tano
Jamani baba ananikera yule
Dah we jamaa unanifurahisha mana upo kundi moja na mie kuhusu kurudia 24 kadri nkijiskia...ila hizo blindspot na Quantico ni kali na theme ya kiintelejensia hujui kinachotokea mbele...so jaribu hizo
Arrow is back...
Season 4 premiere was aired yesterday...
Wewe kisa nn sasa
Anavyomsumbua mwanae.
Haiwezi kuwa sawa na 24 hata kidogo Mkuu
Sema blindspot iko vizuri sana nimeangalia pilot yake imetulia sana naifananisha na ile series ya Hostages
Watengenezaji wake wametulia hata storyline na theme yake ila naona kama uko mbele watachemka maana nilitegemea kuwa na maswali mengi ila katika hiyo episode moja tu umeshapata majibu yote
best of the best kwa upande wangu(finished)
1.24
2.breaking bad
3.nikkita
4.lost
5.prison break
6.revenge
Upo sahihi kaka,ujakosea
Ila hapo kwenye revenge ilibidi iwe Game of thrones
How is it....maana hawa nao wanatqka tuwachoke tu
Wakuu vipi tyrant imetoka mwisho season ipi