Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Shukrani sana ndugu yanguUmetisha sana mkuuu@vincenzo jr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sana ndugu yanguUmetisha sana mkuuu@vincenzo jr
Taja zenye maajabu tuangalie mkuuJackal alfabeti tuu Haina maajabu
Ila kweli. Kama kila mtu amgekuwa na moyo kama wa Bianca wangefika mbali sanaViongozi karibia wote ambao vyeo vyao licha ya u senior wao kazini, vnatokanana misheni walizo wahi kufanya na kuzikamilisha. Who knws labda baadae angekuwa Director General wakitengo
Huyo anazingua sanaTaja zenye maajabu tuangalie mkuu
Unazingua mkuu 😂 😃😀😀😃 kuwa na adabu aiseeJackal alfabeti tuu Haina maajabu
😀😃😀😀 Ile one two one two 😃😀😀Ila hii scene kwenye Squid Game 2 ndio ilinichekesha. Imagine unapewa hii uchonge na usikosee😂😂 View attachment 3187126
Jaribu hii Hdo boxNimejaribu onstream kwenye iPhone inakataa. Hv hakuna app ambayo naweza kudownload movie kwenye simu ya iPhone? Vincenzo Jr na Wengine
Wengi wameishia EP 6 nani aangalie upindeUnazingua mkuu 😂 😃😀😀😃 kuwa na adabu aisee
Sio kweli 😀 😀 labda weweWengi wameishia EP 6 nani aangalie upinde
Ukiondoa 🌈 Umeona wapi commando /Tena sniper anawindwa na watu Tano na demu mmoja😅😅Sio kweli 😀 😀 labda wewe
😃😀😀Ukiondoa 🌈 Umeona wapi commando /Tena sniper anawindwa na watu Tano na demu mmoja😅😅
Na yule mwamba kila akirusha jiwe anakosa hadi kajikojolea ndo akapata 😂😂😀😃😀😀 Ile one two one two 😃😀😀
Alipewa lawama za kutosha pale na Kuna yule mwana kwenye ule mchezo wa kurusha kete juu na kuzidaka alijichagua yeye ndo atacheza, wahuni wakamuuliza we mchezo wa kike unaujuaje mani 😂Na yule mwamba kila akirusha jiwe anakosa hadi kajikojolea ndo akapata 😂😂