Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
waaaaaaaaah' 🤭View attachment 3187342
itafute mwanangu
Jack Ryan ya lini mzee..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waaaaaaaaah' 🤭View attachment 3187342
itafute mwanangu
yaani wameishia njiani vibaya mno niliwasimanga akii'..!!🙌
2018 😎😎waaaaaaaaah' 🤭
Jack Ryan ya lini mzee..??
😃 Wamezingua pale sema yule 001 muhuni sanayaani wameishia njiani vibaya mno niliwasimanga akii'..!!🙌
Naona EP zingine watatupa mwakani Hawa jamaaSikuhizi gharama za uigixaji zipo juu hapa ndio squid gme imeishia?
Nimemis series zilikuwa na episode kuanzia kumi kwa season moja. Unaanglia mpaka unatoshekaView attachment 3187546
Mbona ukitaka series yenye episode hata 300 bado zipo mkuu. Shida ni hao watu wa Squid Game. Hiyo season na jinsi ilivyokuwa nzuri wangefanya hata kama episode ziwe 12 ila wafikie muafaka.Sikuhizi gharama za uigixaji zipo juu hapa ndio squid gme imeishia?
Nimemis series zilikuwa na episode kuanzia kumi kwa season moja. Unaanglia mpaka unatoshekaView attachment 3187546
Jamaa wamepiga sana pesa na watazamaji ila bado kidogo tu ivunje rekodi ya shogun na the penguin ngoja tuone mpaka kesho itakuwajeMbona ukitaka series yenye episode hata 300 bado zipo mkuu. Shida ni hao watu wa Squid Game. Hiyo season na jinsi ilivyokuwa nzuri wangefanya hata kama episode ziwe 12 ila wafikie muafaka.
Kwa series ya namna hii sidhani kama Season 3 ni lazima. Zingekuwa mbili na wangekata kiu yote maana kila episode inafurahisha na kila mtu alikuwa anajua hili game linatakiwa liwe shut down. Sasa wao wanaishia njiani.
Mi nilivyoona tu episode ya 7 muda mwingi wanaspend kwenye action za bunduki na ndo episode ya mwisho nilijua tu itaishia kati. Yani kama nusu saa hivi ni shooting tu hakuna kingine, nikaelewa uhuni wanaotaka kutufanyia watazamaji 😆😆
Na ukute walishaigiza episode zote hadi mwisho tayari ila ni vile tu kuna ka idea ka ku maximize profit kamewajia.
LINEAR PROGRAMMING 😏
Hahaha.. Mtoe Thanos hapo
Simpendi jamaa alikuwa anamkataa kale kamanzi mwenye kipiniHahaha.. Mtoe Thanos hapo
Jamaa vibe lake linafurahisha 😂😂
kumbeNaangalia Documentary ya "Titans: The Rise of Hollywood", Kumbe WERNER BRO ndio studio ya kwanza kuingiza sauti kwenye movies 1927.
Ndio Mkuu ndio naangalia hii documentary DSTV 185. Inaendelea.kumbe
Huo mwaka 1927 kampuni 3 kubwa zilikuwa Paramount, MGM, Warner Bro ghafla kutoka kuelekea kufilisika na ghafla kugundua kuingiza sauti kwenye movie wakaingia Top 3.kumbe
Sie bajeti zetu eti elfu 50Wenzetu wameendelea siku nyingi sana mwaka 1927 walikuwa wanatengeza movie ya budget $1 Million
Hahahaha Sisi janja janja nyingi hatutaki kujiongeza kwenye ubunifu na mitaji.Sie bajeti zetu eti elfu 50
Tatizo Bongo uki invest hela nyingi unapata hasara 😂😂Sie bajeti zetu eti elfu 50