qualalumpagrinder
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 464
- 806
Tamu saaanaa narudia kusema usiache kuishi nayo!!!Nasikia hii nzuri, kuna aliyeicheki wakuu.
View attachment 3190139
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tamu saaanaa narudia kusema usiache kuishi nayo!!!Nasikia hii nzuri, kuna aliyeicheki wakuu.
View attachment 3190139
nipo ep 6 kalii sanaHuu mzigo vipi? View attachment 3190201
kalii sana mkuu enjoyNimeanza mwaka na hii chuma...ni tamuu thanks Vincenzo Jr
ndio ni nzuri sana hii ichekiNasikia hii nzuri, kuna aliyeicheki wakuu.
View attachment 3190139
CHifu ww kila kigongo ni kikalinipo ep 6 kalii sana
naam nikitoka kazini kuanzia saa 3 hadi 6 usiku huwa napitia series za aina zote hadi namaliza huwa napenda sana story na drama ndani ya series mkuu na yale maneno mazuri ndani ya series hichi ndio kipimo cha kuinasa series kalii mfano hiyo earth abides nimependa jinsi walivyoigiza yaan mda wowote wanapata wageni miyeyusho mfano ep ya 6 kaja jamaa kambaka binti fulani aliye mkuta ndani ya mtaa ule sema nae wame mtoa rohoCHifu ww kila kigongo ni kikali
Mzigo mkali sana huu wangekua Netflix au hbo tungepata season 2Nasikia hii nzuri, kuna aliyeicheki wakuu.
View attachment 3190139
naunga mkono hojaMzigo mkali sana huu wangekua Netflix au hbo tungepata season 2
Nasikia hii nzuri, kuna aliyeicheki wakuu.
View attachment 3190139
kalii sana hiyo ndugu yanguNdo naishusha nianze nayo
Mkuu Vincenzo Jr , hivi FROM imeishia wapi vile? Mimi nimeishia pale Fatima anazaa. Imeendelea zaidi ya pale? Nijibu mkuukalii sana hiyo ndugu yangu
ndio ndugu yangu na fatima aisee si kamzaa smile pale ndugu yangu ni hatari sanaMkuu Vincenzo Jr , hivi FROM imeishia wapi vile? Mimi nimeishia pale Fatima anazaa. Imeendelea zaidi ya pale? Nijibu mkuu
Ndio walipoishia aundio ndugu yangu na fatima aisee si kamzaa smile pale ndugu yangu ni hatari sana