Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mie namshauri kwa sasa afatilie Jack Ryan ni series nzuri sana Ina story kalii sanaMkuu hii sio series ya kivita, huku wanazungumzia umafia fulani hivi wakibepari. Kama unapenda bunduki full risasi hii achana nayo
Yeah sure hii Iko poaMie namshauri kwa sasa afatilie Jack Ryan ni series nzuri sana Ina story kalii sana
Ndugu yangu cheki hiiHii landman mbona naona kama imepoa sana , hadi episodi ya 3 sioni matumio ya maana zaidi ya mlipuko mmoja ulio enda na wale jamaa wa cooper [emoji848][emoji848]
Internet iko stable nimeunga jana.Huko Airtel Leo network vipi huko kwako mie huku nalia na kusaga meno Leo 😭
Imepoa haina vitu vingi lakini mimi nimekomaa nayo hadi Episode ya 8 naona taratibu imeanza ku catch attention yanguHii landman mbona naona kama imepoa sana , hadi episodi ya 3 sioni matumio ya maana zaidi ya mlipuko mmoja ulio enda na wale jamaa wa cooper [emoji848][emoji848]
Hii kama nimeichek mkuu si ya demon na yenyeweSema ndio hivyo tena na Episode zitakuwa chache.
Jaribu Jujitsu Kaisen kama hujaicheki.
Kabisa aisee, harafu Vincenzo Jr : rudisha avatar yako bwana , unabadilisha nn bwana , iko poa sana[emoji1][emoji1]Mie namshauri kwa sasa afatilie Jack Ryan ni series nzuri sana Ina story kalii sana
Mi napenda matukio sana , mtu ang'olewe jino, au mmoja ale chuma ya kichwa mapema sana , yani kiufupi damu imwagike iwe kwa chuma au kwa ngumi ya pua [emoji2][emoji2]Mkuu hii sio series ya kivita, huku wanazungumzia umafia fulani hivi wakibepari. Kama unapenda bunduki full risasi hii achana nayo
Jack Ryan inakufaa ndugu yanguMi napenda matukio sana , mtu ang'olewe jino, au mmoja ale chuma ya kichwa mapema sana , yani kiufupi damu imwagike iwe kwa chuma au kwa ngumi ya pua [emoji2][emoji2]
Kama gang of london matukio yake yalivyo, si ya kujutia kuicheki.
Tayari ndugu yangu 😃 😀 😀 😀Kabisa aisee, harafu Vincenzo Jr : rudisha avatar yako bwana , unabadilisha nn bwana , iko poa sana[emoji1][emoji1]
Nliwapigia simu jioni hii ndio imekuwa stable aisee hapa ngoja nishushe movie na seriesInternet iko stable nimeunga jana.
Kama speed iko chini angalia monthly traffic imefika ngapi
Pita na jack Ryan naNataka zigo fulani lenye mkong'oto wa maana iwe series au muvi NAMAANISHA kipigo ja akili nyingi hasa
Hazina kula tunda kimasihara hizi...?Pita na jack Ryan na
Umbrella academy
Mambo hayo yapo mkuu humoHazina kula tunda kimasihara hizi...?
Doh, hizi shule zifunguliwe tu...!Mambo hayo yapo mkuu humo
Walisema tatizo ni mtandao??Nliwapigia simu jioni hii ndio imekuwa stable aisee hapa ngoja nishushe movie na series
Waliniambia ni restartWalisema tatizo ni mtandao??
Kabisa 😃Doh, hizi shule zifunguliwe tu...!
Unajua customer care hawanga hata uelewa wa hivi vitu na ndio maana simple solution kwao kwa kila device ni kumwambia mteja a restart.Waliniambia ni restart