buildings tanzania
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 412
- 1,440
Ndio MkuuHii kama nimeichek mkuu si ya demon na yenyewe
Hiyo wataangalia wenyewe pumbavu kabisaHii Black Doves sishauri mtu aipakue, uch*ko uliopo humu ni balaa
Nikwambie kitu kiongozi hizo movies za actions na horrors ndio mbaya zaidi kuwaonesha watoto kuliko hayo matusi unayoyakimbia, sijajua watoto wana umri gani lakini kabla hujawaonesha angalia wameruhusu watizamaji wa umri gani, usije kupandikiza roho chafu na za kikatili kwa watoto wako bila kujua kupitia hizo movies.Mbele ya watoto haileti picha nzuri mkuu.
Ni kipande kidogo sana tena season 1, kuendelea huko FROM haina mishe hizoMkuu kule kwenye coloni house si wanalombana live kule ?
Huyo ameikuza sana ni kipande cha sekunde kadhaa walionesha mwanamke kamkalia mwanaume wapo juu ya kochi yaan ni kamera ilipita tu shwaa na sio kama ipo hivyo, uamuzi ni wako ukose uhondo wa series pendwa duniani au uiche kisa kipande kidogo cha sex π₯³π₯³π₯³Dah, ahsante kwa kunishtua mkuu naona Dr. Mariposa alitaka kuniuza aisee. π
Mimi pia ilinishinda nikaiachaHii landman mbona naona kama imepoa sana , hadi episodi ya 3 sioni matumio ya maana zaidi ya mlipuko mmoja ulio enda na wale jamaa wa cooper [emoji848][emoji848]
Itabidi upewe ubalozi wa Jack Ryan sio kwa kuitangaza huku πππMie namshauri kwa sasa afatilie Jack Ryan ni series nzuri sana Ina story kalii sana
Hapo sawa ndugu, unajua avatar ni utambulisho wako, yani watu tuna kariliana kwa avatar humu, ukibadirisha radha inapotea[emoji28][emoji28]Tayari ndugu yangu [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jack Ryan nishaanza kuitafuna taratibu , iko poa sana namalizia season one sasa.Jack Ryan inakufaa ndugu yangu
Tulisema hapa haifaiHii Black Doves sishauri mtu aipakue, uch*ko uliopo humu ni balaa
Karibu sana kaka vipi umemuonaje yule mtoto mchina na harakati za babu yake mspaini yule wanafanya series inakuwa kalii sanahii Wrong side of tracks nimeielewa. Nimemaliza episode 1 labda wazingue huko mbeleni. Aliye ileta shukrani
Naam season kalii sana mie nimempenda yule dada ambae ni rafiki yake Ryan alikuwaga kwenye movie Moja hivi inaitwa limitless unaijua hiyo movie?Jack Ryan nishaanza kuitafuna taratibu , iko poa sana namalizia season one sasa.
Naam Kabisa ndugu yangu π π πItabidi upewe ubalozi wa Jack Ryan sio kwa kuitangaza huku πππ
Mtoto hana aibu yule. Anaamka zaga lote limefunikwa na chupi tu mbele ya babu yake...Karibu sana kaka vipi umemuonaje yule mtoto mchina na harakati za babu yake mspaini yule wanafanya series inakuwa kalii sana
Mtoto mzuri sana yule sema baby yake kavurugwa sana nimependa sana babu anavyo mpenda mjukuu wake aisee Kila likitokea tatizo anafatilia yule babuMtoto hana aibu yule. Anaamka zaga lote limefunikwa na chupi tu mbele ya babu yake...
Ila walio.mchukua kwenye gari kwenye episode 1 nahisi watayatimba. Ndio nataka nianze episode two
Nimeichek hiyo....Ndio Mkuu