Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Umekosea huku ni series tu ndugu yanguINAUZWA - Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo
Tuna bidhaa za majumbani na ofisini tupo Kariakoo Msimbazi karibu na DDC hall (manyema St.) tuna fanya free delivery ndani ya Dar es Salaam pia tuna tuma mikoa yote Tanzania kwa umakini ulio tukuka karibu ujiunge na familia ya nafuu electronics ufurahie huduma bora na zenye uhakika. Kwetu mteja...www.jamiiforums.com
😀😃American primeval umeitazama?Nimemaliza kuangalia Xo Kitty season 2,
Now naangalia i woke up a Vampire
Yaani zote ni ujinga ujinga tu ila nimeamua kuzicheki hivyo hivyo sitaki vitu vizito kichwani kwa sasa narelax
No sijaiona, ngoja nicheki trela😀😃American primeval umeitazama?
Icheki ni nzuri sana 😀No sijaiona, ngoja nicheki trela
Raising Kanaan kuna wahuni hadi wamepitilizaNimemaliza
Power book 1,2 na 3 nipo power book 4 Force season ya pili hope naona ndo walipoishia kutoa muendelezo.
Nmeanza kudownload Snowfall vp wakuu ni kali nayo?
NB:Hizi power najutia kuchelewa kuangalia ni kigongo haswa hasa hii Force kwangu ni kali ikifatia na Raising Kanan
Yeah mule ndo kuna wahun wakazi wengi kama yule jamaa Unique jamaa ni real GeeRaising Kanaan kuna wahuni hadi wamepitiliza
Hizo ni chuma balaa man...watu wanapiga deal si poaNimemaliza
Power book 1,2 na 3 nipo power book 4 Force season ya pili hope naona ndo walipoishia kutoa muendelezo.
Nmeanza kudownload Snowfall vp wakuu ni kali nayo?
NB:Hizi power najutia kuchelewa kuangalia ni kigongo haswa hasa hii Force kwangu ni kali ikifatia na Raising Kanan
Ni series kalii sana ila kama hauna mke sio rafiki kwako watu wanapeana sana Raha humooBaada ya kumaliza kurudia kuangalia Prison Break hapa nimeanza kuangalia PEAKY BLINDERS. Kuna mdau amenishauri niingalie sitajutia.
Hapo huwezi juta maisha yote.Baada ya kumaliza kurudia kuangalia Prison Break hapa nimeanza kuangalia PEAKY BLINDERS. Kuna mdau amenishauri niingalie sitajutia.
Nashukuru chiefHapo huwezi juta maisha yote.
Ngoja niidownload hiihii nzuri
View attachment 3226770
kabla hujadownload kitu, google kwanza.Kwanini hamkuniambia kama One piece ni series ya teenagers?.... naiangalia kufidia bundle langu tu ila utoto mwingi sana humu
Ninayo kaka full HD vp niifute au niichekiKwanini hamkuniambia kama One piece ni series ya teenagers?.... naiangalia kufidia bundle langu tu ila utoto mwingi sana humu
Madogo wanachekacheka tu, action zile za Kikorea watu wanapaa hatari😂, Kuna Dogo mmoja wakuitwa King of pirates akisema Gum Gum anavutika kama big G😇. Kama umeshaangalia show za kibabe kama Power, BMF, Seal team n.k, hii series utakua bored sanaNinayo kaka full HD vp niifute au niicheki