Basi bana mi nilivyo ona jina POWER nikajua labda ni yale mambo ya uchawiuchawi farasi kuruka na kupaa kama tai? Kumbe unyama mwingi humu ndani?Nimemaliza
Power book 1,2 na 3 nipo power book 4 Force season ya pili hope naona ndo walipoishia kutoa muendelezo.
Nmeanza kudownload Snowfall vp wakuu ni kali nayo?
NB:Hizi power najutia kuchelewa kuangalia ni kigongo haswa hasa hii Force kwangu ni kali ikifatia na Raising Kanan
Umemaliza episode ya ngapi? 😁😁Baada ya kumaliza kurudia kuangalia Prison Break hapa nimeanza kuangalia PEAKY BLINDERS. Kuna mdau amenishauri niingalie sitajutia.
Pamoja na ukauzu wangu wa kukwepa series za kitoto lakini hii one piece na otter banks nilishindwa kuzikwepa. Ninaisubiri season two kwa hamuMadogo wanachekacheka tu, action zile za Kikorea watu wanapaa hatari😂, Kuna Dogo mmoja wakuitwa King of pirates akisema Gum Gum anavutika kama big G😇. Kama umeshaangalia show za kibabe kama Power, BMF, Seal team n.k, hii series utakua bored sana
Ndio nimeanza chief SO1 Epsode 3Umemaliza episode ya ngapi? 😁😁
Kila la kheri mi sidhani kama hata episode 4 nilifikaNdio nimeanza chief SO1 Epsode 3
Duh kwahiyo mbele kiza?Kila la kheri mi sidhani kama hata episode 4 nilifika
Nasubiri mrejesho kutoka kwakoDuh kwahiyo mbele kiza?
Humu Kuna wahuni drug dealers mkuuBasi bana mi nilivyo ona jina POWER nikajua labda ni yale mambo ya uchawiuchawi farasi kuruka na kupaa kama tai? Kumbe unyama mwingi humu ndani?
Series kalii sana hiyoHumu Kuna wahuni drug dealers mkuu
Umenishusha sana we mwana simba mi sio wa LQ 😁😁😁 ngoja vincenzo aje alete siteWazee wa LQ yani Low Quality hivi ni site gani au app gani tofauti na Moviebox yenye uwezo wa kupakua series yote kwa one click
Kuna mtu ameniomba hapa nikasema ngoja niingie chimbo kwa wataita wa hizi kazi ambao hata kwa bajeti ya mb400 anauwezo wa kushusha series nzima.
Sema anataka ku download series ila yale mambo ya kuokota kamoja kamoja ndio hayataki ye anataka akigusa mguso mmoja tu tayari season kaikamilisha.
Vincenzo Jr , Mr Q
Naikubali vibaya sana nasubiri msimu wa pili uje.Kwanini hamkuniambia kama One piece ni series ya teenagers?.... naiangalia kufidia bundle langu tu ila utoto mwingi sana humu
Umo magangster wanapush drugs tuBasi bana mi nilivyo ona jina POWER nikajua labda ni yale mambo ya uchawiuchawi farasi kuruka na kupaa kama tai? Kumbe unyama mwingi humu ndani?
Atumie onstreamWazee wa LQ yani Low Quality hivi ni site gani au app gani tofauti na Moviebox yenye uwezo wa kupakua series yote kwa one click
Kuna mtu ameniomba hapa nikasema ngoja niingie chimbo kwa wataita wa hizi kazi ambao hata kwa bajeti ya mb400 anauwezo wa kushusha series nzima.
Sema anataka ku download series ila yale mambo ya kuokota kamoja kamoja ndio hayataki ye anataka akigusa mguso mmoja tu tayari season kaikamilisha.
Vincenzo Jr , Mr Q
Onstream haina 1 click ni mpaka ucheze na moja moja mpaka ukamilishe seasonAtumie onstream
Anatafuta series gani tujaribu kumsakia?Onstream haina 1 click ni mpaka ucheze na moja moja mpaka ukamilishe season
Aisee hapo inabidi atumie torrent tu kakaOnstream haina 1 click ni mpaka ucheze na moja moja mpaka ukamilishe season
Ila ujue hata movie box hii option ipo unapiga one click mzigo unaingia fasta unaweza pia ukachagua low quality au high quality 😃Onstream haina 1 click ni mpaka ucheze na moja moja mpaka ukamilishe season
Movie box ipo ila inamzingua kwa madai yakeIla ujue hata movie box hii option ipo unapiga one click mzigo unaingia fasta unaweza pia ukachagua low quality au high quality 😃