Series (Special thread)

Unatumia kifaa gani kuangalizia mku
Daah mnawezaje kuangalia movie kwa resolution ya kawaida hvyo..
Mm huwa navizia WIFI ya ofisini na kupakua movie zenye Quality ya juu sana
Unakuta episode moja tu ina MB 700 na kuendelea
u 😁😁
Kwangu mimi hii 720p naona inanitosha. Zipo movies huwa nalazimika kuzichukua kwa 1080p kama zile za jason statham, john wick zote, bourne zote, the jack yote. Yani watu wawe wameumiza vichwa haswa ndio muvi au series yake nitaichukua kwa quality ya juu zaidi ya hapo
 





Hapo nimekuelewa
 
Unatumia site gani kupakua hii mali mkongwe!?
Share link tafadhali.
Mambo yote yapo hapa. Ni browser yako tu na bando huhitaji makorokoro mengi

 
Ni kujipakulia minyama nadhani wewe ndie uliileta humu shukrani sana. Ile 2dayseries naona kwangu kama nzito kidogo
Kule today tv series mambo mengi sana kule sema zikifungiwa hizi site huwa napata tabu mno yaani πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ
 
Kule today tv series mambo mengi sana kule sema zikifungiwa hizi site huwa napata tabu mno yaani πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ
Yani walipiga pin site moja hivi nikaumia sana isingekuwa uzi huu na wewe kushea hio moviemod ningekuwa nahangaika na UTORRENT inakuandikia 21 days remain for your downliad to complete mi hayo mambo siwezi kabisa 😁
 
Alhamdulillah!!!
Nimeingia humu ni shida, kuna series hawana hawa jamaa?
 
Nataka niadd link kwenye home screen ya simu yangu msaada chief.
 
Nataka niadd link kwenye home screen ya simu yangu msaada chief.
Fungua link unayo taka kisha kwenye browser yako bonyeza kwenye vidoti vitatu kwangu mimi vipo chini kulia
Kwa wengine vipo juu kulia. Kisha bonyeza add to home screen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…