unakumbuka utotoni ukiitwa kula inavyokuwa..??Naomba hii Paradise msiisifie sana, nasubiri imalize kisha niishushe. Naomba tusitiane majaribuni nikadondokea dhambini😂
Naunga mkono hoja Cassano,Paradise nzuri sana mwanangu 😎😎
Basi si nikajua ni mambo ya mapenzimapenzi na kujilizaliza tu kumbe na mkong'oto umo? Sasa naichukua rasmi
😂😂😂Basi si nikajua ni mambo ya mapenzimapenzi na kujilizaliza tu kumbe na mkong'oto umo? Sasa naichukua rasmi
Zaga hili hapa😂😂😂
Nilijua tu vijana wangu mkiona neno Love mtajichanganya, ikabidi niwawekee na uthibitisho..!!
🔥🔥🔥Zaga hili hapaView attachment 3249515
Shukrani sana mwanangu chuma kikali sana hiki saa 3 asubuhi napita nacho ni enjoy 🥰😎😎
Mrejesho chuma ni kikali sana jana nilivyomaliza kuishusha Kuna dogo langu Moja alipita nayo now kuniambia chuma kikali sana hiki🔥🔥🔥
Na kuipigia kote promo sijaitazama bado imagine, mrejesho muhimu..!!
Ukipata muda icheki
Nimeimaliza. Nimefarijika nimemwona jackiechan in new version. Mambo kama haya nilimisi kuyaona. Ambao hamjaicheki tafadhali sana msichelewe
Nakuelewa sana kiongozi , breaking bad tayari nishaimeza[emoji1] wife nae aliicheki akaipenda sana,Anza na peaky blinders kwanza ukitaka kuanza better call Saul hakikisha breaking bad umeshaitazama
Hii series aisee. Hao wazee wa zamani wameitendea haki.
Dah april mbona mbali sana? Dude likitoka unikumbusheMkono unaopigwa humu ni noma , tusubili April
Exactly 💯Hii series aisee. Hao wazee wa zamani wameitendea haki.
Short and Classic.
Kazi nzuri
Ungekuwa unakaa kigamboni ningekuita mtaani kwangu nikupe wifi nduguWakuu Mwanza wi-fi za bei chee napata wapi, maana nina hii
Dexter, Zero Day, Peaky Blinders last season na Paradise.....zote nataka kuzishusha
Nipo Nyegezi huku wi-fi hakuna sizipati halafu nina loose ends nyingi sana😎Ungekuwa unakaa kigamboni ningekuita mtaani kwangu nikupe wifi ndugu
Kwenye dexter utaivia moshiWakuu Mwanza wi-fi za bei chee napata wapi, maana nina hii
Dexter, Zero Day, Peaky Blinders last season na Paradise.....zote nataka kuzishusha