Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kwi kwi kwiiii ww naona tukupe bwana Lucious au unaonaje raylee???Si nilikwambia aliwaweka sawa wote na akili zikawakaa sawa...I wish nimpate ka yule :eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows:

Hapo michelle nadhani ameruka kwa furaha..ameshampokea huyo kwa mikono miwili....na ww acha tamaa..endelea kumkuza Travis wako..
 
Last edited by a moderator:
Selling My New External HDD, 1TB.

It has all these TV-Series with Latest EPISODES:

TV~Series;
-24
-Criminal Minds
-Dexter
-Elementary
-Hawaii Five 0
-Homeland
-Jane the Virgin
-Leverage
-NCIS
-NCIS LA
-Prison Break
-Scandal
-Suits
-The Unit
-True Detective.
-Under the Dome
-The Tomorrow People
-Empire
-Strike Back
-the Walking Dead
-Arrow
-12 Monkeys
-American Horror Stories
-Argent Carter.

Price: 190,000/-

Condition of HDD: NEW

WHATSAPP: 0715240140
 
Kwi kwi kwiiii ww naona tukupe bwana Lucious au unaonaje raylee???Si nilikwambia aliwaweka sawa wote na akili zikawakaa sawa...I wish nimpate ka yule :eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows:

Hapo michelle nadhani ameruka kwa furaha..ameshampokea huyo kwa mikono miwili....na ww acha tamaa..endelea kumkuza Travis wako..

:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::yo::yo::yo:.....Yaani Gourgeous ndio maana nakupenda....unajua vitu vyangu....SALUTE MADAME

Nimempokea kwa mikono miwili,akili,moyo na vyote.....lol
 
mchukue brad basi..yuko poa

Ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Brad na Mercie ndio wataendana.....lol
Kelly abaki tu na Travis wake.....! Yes you CAN raise Travis to be a real man and more....lol
 
Ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Brad na Mercie ndio wataendana.....lol
Kelly abaki tu na Travis wake.....! Yes you CAN raise Travis to be a real man and more....lol
Travis jamani akiacha kuwa mammas boy atapendeza jamani he has it all!!
 
I agree....yuko kama mtoto...sijui kwanini anaona sawa kwenda kwa Kelly?
Hata mi hapo simuelewi eti anasema anaumia!!How??Ye ndo kaamua awe na Christal sasa kwann aumie kwa kuachana na Kelly?Ananishangaza....He cant stand for himself...he needs to grow up!!Au motherhouse kamuwekea conditions??
 
Hata mi hapo simuelewi eti anasema anaumia!!How??Ye ndo kaamua awe na Christal sasa kwann aumie kwa kuachana na Kelly?Ananishangaza....He cant stand for himself...he needs to grow up!!Au motherhouse kamuwekea conditions??

Hakuamua,mama yake alitaka kumtenga na Kelly(mzinzi na ana mtoto na mwanaume mwingine).....wakamshawishi aende mission huko,wakampeleka na mdada.....ndio ikawa hivyo tena....ila sasa yeye hajielewi afurahishe mama au Kelly na mwanae
 
Hakuamua,mama yake alitaka kumtenga na Kelly(mzinzi na ana mtoto na mwanaume mwingine).....wakamshawishi aende mission huko,wakampeleka na mdada.....ndio ikawa hivyo tena....ila sasa yeye hajielewi afurahishe mama au Kelly na mwanae
Mhhh yule bibi nuksi eti you are too matured for my son and older than him,he needs someone of his age so that they can grow up together and make mistakes together.Mbona huyo mwanae kazini na Kelly nae mzinzi vilevile...labda aseme coz ana mtoto lkn Travis mwenyewe karidhia kuitwa mpaka baba...he just needs to man up and make his own decisions!Mamaake sie anayeoa ni yeye!!
 
Mhhh yule bibi nuksi eti you are too matured for my son and older than him,he needs someone of his age so that they can grow up together and make mistakes together.Mbona huyo mwanae kazini na Kelly nae mzinzi vilevile...labda aseme coz ana mtoto lkn Travis mwenyewe karidhia kuitwa mpaka baba...he just needs to man up and make his own decisions!Mamaake sie anayeoa ni yeye!!

Kwa mawazo ya wazazi mwana wao alikuwa safi hadi alipokutana na Kelly....ndio maana hawamtakia manake ni watumishi wa Mungu
 
Kwa mawazo ya wazazi mwana wao alikuwa safi hadi alipokutana na Kelly....ndio maana hawamtakia manake ni watumishi wa Mungu

Yah i heard her saying Kelly took his virginity or so....anyway...We'll see how it goes!!
 
Mi shetani namuona kwenye matendo yetu wanadamu mengi sana,sijui kama kuna shetani mkubwa na mdogo....ila tu wadhambi wote.
Mwenyezimungu aliainisha dhambi kubwa na dhambi ndogo,ila kwa hili la ushoga Mungu amelikemea sana,na kuna watu kaumu za nyuma huko (Kaumu Lutu) Mungu aliwaangamiza on the spot hakutaka kungojea mpaka siku ya Kiyama,ambapo aliwageuza mawe wale watu.Kwa mantiki hiyo ushoga au kuingiliana kinyume na maumbile ni dhambi KUBWA SANA @Michelle
 
Mwenyezimungu aliainisha dhambi kubwa na dhambi ndogo,ila kwa hili la ushoga Mungu amelikemea sana,na kuna watu kaumu za nyuma huko (Kaumu Lutu) Mungu aliwaangamiza on the spot hakutaka kungojea mpaka siku ya Kiyama,ambapo aliwageuza mawe wale watu.Kwa mantiki hiyo ushoga au kuingiliana kinyume na maumbile ni dhambi KUBWA SANA @Michelle

Sasa tumuache Mungu apambane nao na wale wanaoutetea ushoga,ila kama binadamu wenzao hatuna budi kuwakubali walivyo....si tumeambiwa tuchukuliane mizigo,tuonyane kwa upendo na kuvumiliana?? Mi hii ishu ni ngumu kwangu,manake kuna ambao wanaona wamezaliwa na jinsia wasizozistahili.
 
Back
Top Bottom