mndewa flan
Member
- Apr 9, 2015
- 11
- 3
Mkuu anaitwa Collin Morgan!
Mkuu napenda makitu kama twenty 24hrs.kwa sasa ninaangalia homeland... Na blacklist tayari suggest nyingine za mrengo huo. Mambo ya terrorist na Cia ndio nayamind mnoooo au mafia..Person of interest iko season 4 the 100 season 2 ndo imeisha tunasubiri msimu mpya kama unapenda ancient stories Game of thrones ndo best ever series!
Mkuu napenda makitu kama twenty 24hrs.kwa sasa ninaangalia homeland... Na blacklist tayari suggest nyingine za mrengo huo. Mambo ya terrorist na Cia ndio nayamind mnoooo au mafia..
Asanteee anatumia jina gani insta maana niliyopata nadhani ni fake
Kwa wale wapenzi wa movie and series kuna hii application inaitwa "show box" humo unapakua bila tatizo, yaani kiulainiiiiiiii mpaka raha aani. Lakini application haipo Google market wala Google play. Kitu unakipata kwa Google search, chrome, opera na sehemu nyingine za kusearch kwa kawaida. Ukishai install utapata request nyingi za ku update. ...usichoke update kadri zinavyokuja lakini mwisho wa siku hautokuja kujutia hii app. Nisike mimi uone kama hautajuta kuifahamu time hizi, yaani kama ungeijua kitambo hivi...
Uzuri wa hii application inakuletea mpaka movie zilizotoka jana..au ambazo zimeachiwa hata leo..enjoy t..kwa maswali na msaada karibu if uko interested na hii kitu.
Nb:not about jokes. . Serious
Umetisha sana boy...iko poa sana hii.nishaitumbukiza kwenye simu..nakula vyombo tu now
Umetisha sana boy...iko poa sana hii.nishaitumbukiza kwenye simu..nakula vyombo tu now
Good. But next time better use a word kiongoz au mkuu au ndugu. Coz I am not a boy ndugu yangu.. but usijali. Enjoy the show box and welcome in the world of kula bata na show box. Gnite basi
mimi siku zote najua kan'tangaze ni mwanamke mrembo...
Kwa wale wapenzi wa movie and series kuna hii application inaitwa "show box" humo unapakua bila tatizo, yaani kiulainiiiiiiii mpaka raha aani. Lakini application haipo Google market wala Google play. Kitu unakipata kwa Google search, chrome, opera na sehemu nyingine za kusearch kwa kawaida. Ukishai install utapata request nyingi za ku update. ...usichoke update kadri zinavyokuja lakini mwisho wa siku hautokuja kujutia hii app. Nisike mimi uone kama hautajuta kuifahamu time hizi, yaani kama ungeijua kitambo hivi...
Uzuri wa hii application inakuletea mpaka movie zilizotoka jana..au ambazo zimeachiwa hata leo..enjoy t..kwa maswali na msaada karibu if uko interested na hii kitu.
Nb:not about jokes. . Serious
Kwa kuwasaidia zaidi nimetupia link hapa chini ambapo wanaweza kudownload "showbox app apk file"...
BOFYA HAPA KUPAKUA "SHOWBOX"
Thank u mkuu. ..in this together.
Kwa kuwasaidia zaidi nimetupia link hapa chini ambapo wanaweza kudownload "showbox app apk file"...
BOFYA HAPA KUPAKUA "SHOWBOX"
BOFYA HAPA KUPATA MAELEKEZO NAMNA YA KU-INSTALL
Shukrani sana
Good. But next time better use a word kiongoz au mkuu au ndugu. Coz I am not a boy ndugu yangu.. but usijali. Enjoy the show box and welcome in the world of kula bata na show box. Gnite basi
Shost upo???