Pamoja mkuu...
Kwa hiyo hizo movie ukidownload unaangalizia tu kwenye simu basiii au tablet au unazihamisha
Kwa hiyo hizo movie ukidownload unaangalizia tu kwenye simu basiii au tablet au unazihamisha
Nauza My New HDD, 1TB.
It has TV-Series and More than 200 Latest Movies(2010-2015)
TV-Series:
View attachment 242445
-24
-Criminal Minds
-Dexter
-Elementary
-Hawaii Five 0
-Homeland
-Jane the Virgin
-Leverage
-NCIS
-NCIS LA
-Prison Break
-Scandal
-Suits
-The Unit
-True Detective.
-Under the Dome
-The Tomorrow People
-Empire
-Strike Back
-the Walking Dead
-Arrow
-12 Monkeys
-American Horror Stories
-Argent Carter
-Game of Thrones
-Person of Interest
-Hostages
-Stalker
Whatsapp: 0715240140
Mkuu yani leo nimefurahi sana baada ya kuikuta game of thrones season 5 kitambo sijapita humu hata sikuwa aware kama imetoka hivi hapa ndio inamalizika kushushwa na hii ni first thing tomorrow morning, John Snow is such a fighter I like him, Pia Khaleesi mother of Gragons nampendaga sana humu I hope anaendelea vema pia na Dragons zake.Naona Jon snow atakuja kuwa king wa North. Naona season 5 ya Game of thrones imekuja vizuri sana
Mkuu yani leo nimefurahi sana baada ya kuikuta game of thrones season 5 kitambo sijapita humu hata sikuwa aware kama imetoka hivi hapa ndio inamalizika kushushwa na hii ni first thing tomorrow morning, John Snow is such a fighter I like him, Pia Khaleesi mother of Gragons nampendaga sana humu I hope anaendelea vema pia na Dragons zake.
Kuna hii XIII
Why does Randol calls peppa and check up on her instead of his lovely wife?
Marcie kadata anataka kumlala mpaka Brad sasa!!Hasira za mkizi lol
Randol katoa baruti pale alipoachiwa ha ha ha ..Na namuona yule jamaa hayupo sawa kama yupo brainwashed apart from all of tht lkn bado kamngangania peppa tu khaa ananichefua!!If that will make her happy acha afanye tu kwakweli..she went through alot..asije akachizi dada wa watu..randol nadhani mpaka akifa ndo ataelewa kuwa mke wa mtu ni sumu..somo bado halijamuingia now
Ha ha ha bana travis ananivaa mzimamzima anafikiri moyo wangu wa chuma ehhhh?Miss kelly umenichekesha jinsi ulivyokwepa lile busu..hiyo style yako nimeipenda gafla
Ha ha ha bana travis ananivaa mzimamzima anafikiri moyo wangu wa chuma ehhhh?
Randol katoa baruti pale alipoachiwa ha ha ha ..Na namuona yule jamaa hayupo sawa kama yupo brainwashed apart from all of tht lkn bado kamngangania peppa tu khaa ananichefua!!
Simuamini mamma´s boy na moyo wangu ni kama nauweka rehani tu!!!Hahaha..utalegeze tu ww..tunakupa two more episodes..lazima unarudi kwenye line..
Mahaba niue.....Si umeona pale alipokuwa anaweka kwenye gari na Psyco Eddie,peppa alivyokuwa akimtetea eti wasimpelekeshe haresist!!Brad imemuuma dah.....Wale sijui walikuwa wanapeana nn??...hata alex naona still ana feelings kwa randol..anajaribu tu kupingana na moyo wake