Ndiyo my baby girl ndo mida yenyewe njoo mpenzi wangu
Poa my baby girl ngoja niianze
Nimemaliza being Mary Jane, scandal na empire naomba nyingine kali wakuu
Kuna hii series mpya #AMERICAN_ODYSSEY kama kuna mtu anaicheki ndio kwanza imetoka hadi episode ya pili sasa, Y a kwanza nimeicheki, binafsi nimeipenda hasa the fact kwamba Nchi za Kiislam zinahusika. Movie zote ambazo wamarekani wameigizia nchi za kiarabu ama tamaduni za kiislamu binafsi huwa nazipenda sijui kwa nini... Humu ndani kuna Islamic State of Mali in Africa. Jaribuni kuiona It seems to be a good series. BTW Tyrant lini jamani kwenye ratiba? na Revolution nayo kimyaa?
View attachment 246048
Hii Ndude/Gadget(1TB) iko na 30TV-Series na Zaidi ya 300 Latest Movies.
Ni Mpya-pyaaaaaaaa.
Ina Reserve ya 55GB
Bei Tsh= 195,000/-
Bring an Endless Entertainment in your LivingRoom.
Call; 0715-240140
naona Arrow hainogi sijui wengi mmependea nini
Unaguna nn sasa?
naona Arrow hainogi sijui wengi mmependea nini
Basi kuna kitu una-miss
Nipo episode ya 3 season 1