Series (Special thread)

Series (Special thread)

Wakuu nipeni ushauri nitafute series gani nzuri yenye ucomedy na pia series ya mambo ya kizamani(historia) lakini zisiwe za kikorea
 
Wakuu nipeni ushauri nitafute series gani nzuri yenye ucomedy na pia series ya mambo ya kizamani(historia) lakini zisiwe za kikorea

Spartacus
Da Vinci demons
Rome
Game of thrones
Black sails
Vikings
Marco polo
Cross bones
Atlantis
Sinbad
Legend of the speaker
Anza na hizi mkuu zote za kizamani Ancient stories
 
Last Ship ni one of my best series kwa 2014... naisubiria kwa hamu season 2... sambamba na Power as well as Legends huku nikiisubiria kwa hamu January 28 kwa ajili ya Season 3 ya The Americans ambayo kwangu mimi ndo best pure spying series.

Yah The last ship iko vizuri sana ndio naendelea kuiangalia
Mwaka 2014 niliangalia series mpya mbili
Outlanders na when calls heart
Azikunishika mpaka zaidi ya zile nnazoendelea kuziangalia 24,the American na viking ingawa hii viking imeniboa huko mbele.
Hata the Americans naona kama inalost plot maana covert operations sio nyingi sana kwenye s02...kama ilivokuwa kwenye pilot s01
 
Spartacus
Da Vinci demons
Rome
Game of thrones
Black sails
Vikings
Marco polo
Cross bones
Atlantis
Sinbad
Legend of the speaker
Anza na hizi mkuu zote za kizamani Ancient stories

Hiyo legend ilianza vizur but haikuisha siipendi duu mkuu wew wa longi kinoma hiz series za kitambo
 
Hivi homeland si ndo ile ya cornel Brody aliyetekwa Afghanistan sijui then wakahisi kafa then akarudi akiwa kabadili maamuzi???
 
Hiyo legend ilianza vizur but haikuisha siipendi duu mkuu wew wa longi kinoma hiz series za kitambo

Yah nimeanza kuwatch kitambo,for sure legend of the seeker nilijitahid mpaka season three fiction zikazidi ikaniboa nukaweka kapuni vipi nawe unapenda series za ancient stories!
 
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.

Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya.

Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na zimenifurahisha.


1.Leverage
2.Breaking bad
3.Prison break
4.Burn Notice
5.Lost
6.Revolution
7.How to make it in America
8.How I met your mother
9.Martin
10.Community
11.Walkind dead
hizo ni baadhi tu

I like it
 
Homeland Season 4 ilianza kwa kupooza sana to the point kama sio mpenzi wa hiyo series unaweza kuiacha... hata hivyo, baada ya kufika Episode ya 6, dah... hatareeee! Sema kama kawaida yao siku hizi, na yenyewe episode ya mwisho wametuzingua sana safari hii though bado inatia hamu kusubiria Season 5.

Ile season ambayo rafiki wa Brody yule nigga sniper anasumbua akitaka mdungua MTU mpaka Brody anakuwa approached na makamu wa rais amuunge mkono kwa kampeni ili aje awe waziri wa ulinzi ni season ya ngapi
 
24 haina mpinzani na sikutaka kuiweka kama ni my best for 2014 kwa kuwa nililenga kutaja series mpya kama hizo Power, Legends na Last Ship. Hiyo 24 nimeirudia rudia zaidi ya mara nne na bado ninapokosa new series huwa na-pick any season na kuangalia...

Huo mchezo wa kuirudia ndo kama mm aseee...hapa sahivi hizi series zimesimama nimeanza upya kuitazama live another day...
 
Km ulipenda 24 angalia na homeland iko poa mbaya

Homeland hilikuwa nzuri s01 tu huko mbele walipoteza sana plot walipoanza kuleta mapenzi....
Hila ni nzuri kwa kuangalia lakini baadaye inabore hakuna kama 24 mjomba
 
Homeland hilikuwa nzuri s01 tu huko mbele walipoteza sana plot walipoanza kuleta mapenzi....
Hila ni nzuri kwa kuangalia lakini baadaye inabore hakuna kama 24 mjomba

Season 1 ilikuwa poa huko kwingine Mara inavutia mara inaboa
 
Talk of Tom Walker... ilikuwa ni Season 1 ile pale Tom kwa makusudi alipokosea kulenga shabaha na kwa bahati mbaya risasi ikampata asiyekusudiwa! Lengo la kujikosesha shabaha ikiwa ni kuwataka wale wageni maalum wakajifungie emergency room na kwavile hiyo ingetokana na hatari iliyopo, basi hata suala la security check lisingefanyika! Lengo hasa ikiwa ni kumpa nafasi Sargent Brody aliyekuwa amevaa suicide vest, akapate nafasi ya kujilipua huko huko emergency room na kuleta maafa kwa viongozi wote ambao walikuwa wamejifungia huko wakikimbia assassination attempt ya Tom Walker!

Season two sikutazama na three sikupata mzuka nayo ingawa I had it.
Walker alikufa pale alipopigwa shaba na Sargent Brody???
 
Guys kuna mtu ambae ashawahi tazama "under covers" ambayo Boris kodjoe na gugu mbatha raw wameigiza as Hus n wife ambao ni CIA??? Na wanapiga zile operations pamoja???me nilitazama season moja tu ilikua na episodes 13 sijawahi iona tena ila niliipenda kwakweli.
Anyone mwenye idea hiii
 
Unajua nadhani kinachochangia wakati mwingine hawa waandaji wamezidi kujihusisha na project nyingi kwa wakati mmoja... hapa nawazungumzia... hapa nawazungumzia Howard Gordon, Alex Gansa na Gideon Raff. Ukimchukulia mtu kama Howard Gordon, yupo kwenye Homeland, Legends na Tyrant... wakati ideally, zote hizi zipo kweney same genre. Na ka kuwa zamani huyu Howard alikuwa kwenye team ya 24 Developers, sitashangaa nikisikia hata huko nako hapotei! Ukija kwa Gideon Raff, nae yupo kwenye Homeland and Tyrant... Na asikuambie, kazi ya kuandika ni ngumu sana coz' sehemu kubwa ya matukio ya kwenye movie/series yanakuwa created na waandishi...

Series nyingi ni Vitabu ambavyo vilishaandikwa wao wanachofanya ni kuput in practice,shooting ndio inayocost sana kwa maproducer
 
Hata kama ni kitabu bado kazi ipo pale pale! Chukulia movie kwa mfano, script (standard format) ni page 120 wakati vitabu/novel vya wenzetu zinakuaga pages 300 na kuendelea! Na hiyo standard format ya page 120 kama unaiweka kwenye mtindo wa novel, zitakuwa chini ya page 100 coz' script ina plain areas nyingi sana... now from page 300+ to less than 100...

Hiyo moja, lakini uandishi wa script na vitabu ni tofauti... wakati vitabu/novel unasimulia script unaonesha! So, advantage pekee ya kutumia vitabu ni kwa kuwa idea tayari ipo (huu ndo mgogoro wenyewe) na baadhi ya matukio vile vile yanakuwa yapo... all you need is to keep them in script form lakini kazi ipo pale pale. Labda sema, series kama Homeland zamani ilitoka kama POW nchini Israel... hii kazi yake haiwezi kuwa kubwa sana ingawaje suala la kuondoa na kuingiza matukio mapya litabaki pale pale.

Kaka script writer wa Hollywood wote wameenda shule ya hiyo kitu ndo maana kuna ushindani mkubwa wa script writer,mfano JJ Abram ni producer aliyeanza hiyo kitu siku nyingi sana na hua habahatishi angalia series zake za Lost,Allies,Nikita,Fringe,Alcatraz etc,hizi series zote km zinaendana vile na amebobea kwenye finction na action so kuanda script za aina hiyo kwake sio ishu,story hawatoi kuchwani ila wanaongeza vitu kutokana na utaalamu walionao
 
Hata kama ni kitabu bado kazi ipo pale pale! Chukulia movie kwa mfano, script (standard format) ni page 120 wakati vitabu/novel vya wenzetu zinakuaga pages 300 na kuendelea! Na hiyo standard format ya page 120 kama unaiweka kwenye mtindo wa novel, zitakuwa chini ya page 100 coz' script ina plain areas nyingi sana... now from page 300+ to less than 100...

Hiyo moja, lakini uandishi wa script na vitabu ni tofauti... wakati vitabu/novel unasimulia script unaonesha! So, advantage pekee ya kutumia vitabu ni kwa kuwa idea tayari ipo (huu ndo mgogoro wenyewe) na baadhi ya matukio vile vile yanakuwa yapo... all you need is to keep them in script form lakini kazi ipo pale pale. Labda sema, series kama Homeland zamani ilitoka kama POW nchini Israel... hii kazi yake haiwezi kuwa kubwa sana ingawaje suala la kuondoa na kuingiza matukio mapya litabaki pale pale.

Chige, kazi ya producer ni kuhakikisha anatengeneza script ya tukio huu ndo msingi mkuu wa maproducer wote,ndo maana nimekutolea mfano wa JJ Abram ambaye mm namkubali kuliko hata wale waliotengeneza 24 na Prison break maana ni km waliziotea zile na hawakuproduce series angalau zilizoendana na zile za awali.
 
Issue sio kuandika script... issue ni kuandika script zaidi ya moja kwa wakati mmoja, zenye theme moja lakini kwa show tofauti tofauti.. ndio maana nikatoa mfano wa Howard Gordon. Ukiangalia Homeland, Tyrant & Legends... hizi show ni zaidi ya kuziita kwamba ni same genre lakini hata mlengo wake unafanana! Kwamba, unaweza kuchukua tukio la kwenye Legends na ukalipeleka Homeland au la Homeland ukalipeleka Tyrant. Kutokana na hilo, lazima kuna show itapwaya coz' unalazimika kuzigawa plots ambazo zingeweza kuwa kwenye show moja na badala yake unalazimika kuzipeleka kwenye show zaidi ya moja... matokeo yake, unakuwa na scenes chache ambazo ni bangs na kuishia kujazia jazia kukamilisha season! Chukulia Homeland Season 4 kwa mfano, out of 12 episodes, zaidi ay nusu wametuzingua! Na kiukweli ni episode 6,7, 8 na 9 pekee ndiyo zilikuwa na msisimko!!!!

Chige nahisi hujanielewa nilichosema awali, ishu sio kua na series zinazofanana nyingi maana haiathiri km story ni tofauti.hizo series ulizozitaja hazijatoka wakati mmoja na script writer sio mmoja zote,Homeland kitabu chake ni prison of war na ilioneshwa kwa mara ya kwanza October 2011,Tyrant ilikuja kuanza June 2014 lakini aliyeandika script ni Gideon Raff but Gordon alikuja kuidevelop na sio mwandishi wa awali,Legend hii imeandikwa na watatu Gordon akiwepo nayo imebased on the same book called Legend,hii ilianza kurushwa August 2014.sioni point yako ya show kupwaya au kugawa plot ya homeland ije Legend wakati zimetoka miaka tofauti theme km zingekua zinafanana hapo ningesema ameiga theme
Alias na Nikita ndo zinafanana almost kila tukia maana zote JJ Abram anamkono,Alias yuko mwadada mrembo Sydney ambaye alikua chini ya secret branch ya C.I.A iliyoitwa Sd-6 km kwenye Nikita alivyokua chini ya secret branch Division,kwenye Nikita kuna " C.I.A BLACK OPS" km ilivyo kwenye Alias,kwenye Nikita division inaundwa kinyemela chini ya mzee Percy (achana na Amanda) na kwenye Alias inaundwa kinyemela chini ya mzee Sloanes ambaye ana mikogo sawa na Percy wa Nikita.
Nikita orijino ilikua 1990 ambayo ilitokana na french film km ilivyo kwa series ya XIII iliyotokana name French film,then series ya La Femme Nikita mwaka 1997 ndiyo iliyoibua Nikita series hii tunayoangalia,hizi ni series 2 zinafanana sana but kila moja inautamu wake.
Ndiyo maana nikasema namkubali sana huyu producer kwa kuweza kuzitendea Haki even though zinafanana
 
Back
Top Bottom