Series (Special thread)

Series (Special thread)

Mkuuu last ship haijawahi kuloose plots and will never lose.
Na miongoni mwa best series ambazo you can't forward even a second. Pakua episode one uone kama hujalilia episode ya pili itoke hata sasa.
Labda useme hujaipenda tu mkuu lakini sio hio sababu.

Unachosema ni kweli kaka kwamba sijaipenda na naona kama imepoteza plot
Ukiangalia jinsi ilivyoanza na ile pandemic inaonekana the entire population of the world imekufa na waliobaki ndio wanastruggle kusurvive but wameitengeneza kama ile series ya Walking Dead naona kama wameiga zile pulukushana za mapigano

Mie nilitegemea iwe imebase zaidi kwenye utafiti na mambo mengine ya kimaabara na ugunduzi wa dawa na tatizo lenyewe la ule ugonjwa ila wamebadilisha plot imekuwa ya kibabe kama ilivyo Walking Dead.

Mie napenda idea mpya sio mtu unatafuta kisa then unapolonga uko mbele...
Na ndio maana aijapata watazamaji wengi...ila mie naiangalia
 
Wale wapenzi wa tyrant,season two ishatoka na mpaka sasa tushaangalie epsod 3.
 
Mbona Kali kinoma Hata Sijaona Mapungufu Yake !?

Makosa yake niliyoyaona ni delaying time yaani matukio mengi ambayo hayana umuhimu sana yanaonyeshwa kwa muda mrefu mfano kwenye tembea,kulala na kukaa idle hii inaifanya iwe imepoa sana

But I hope inaweza kuja kuwa series nzuri coz idea yake ya mambo ya hacking ni ngeni miongoni mwa watu so watu wengi watapenda kuiangalia ili kujua mbinu nyingi wanazotumia mahackes

Hata mie naiangalia hili nijue na nipate maidea ya hacking na nipo nasubiri Ep02 hapo July 1.

Nakumbuka movie kama #Swordfish na #Ocean_twelve zilikuwa na mautundu ya hacking na nilizipenda
 
My views -my top 10
1st-24hrs
2nd-prison break
3rd-personal of interest
4th-nikita
5th-the blacklist
6th-hawaii five0
7th-arrows
8th-lie to me
9th-the mentalist
10th-human target

hiyo ya kwanza mzee ilinifanya nika-sapp chuo mkuu.
 
Imeanza kutoka jna episode ya kwanza...hot than hell
Innocizy i hv watched the last ship episod 1 n 2, aiseee ni nzuri mno ila nikagundua season 1 sikuiangalia yote maana nineshanfaa tu meli imevamiwa ila ilivamiwa vp ndio sikujua
 
Last edited by a moderator:
Innocizy i hv watched the last ship episod 1 n 2, aiseee ni nzuri mno ila nikagundua season 1 sikuiangalia yote maana nineshanfaa tu meli imevamiwa ila ilivamiwa vp ndio sikujua

Kuna maduka huwa wanazo series na movies unaweza enda chukua..
Kiukweli last ship ni bad news......too bad kaka Chuma-cha-reli anadai imeishiwa plots....
Go look for season one huwa wanakuwekea for 3000 tu..naona ni nyepesi kuliko kushusha torrent...
Me I have it ila nko Moro kwasasa,I would have given u.
 
Last edited by a moderator:
Kuna maduka huwa wanazo series na movies unaweza enda chukua..
Kiukweli last ship ni bad news......too bad kaka Chuma-cha-reli anadai imeishiwa plots....
Go look for season one huwa wanakuwekea for 3000 tu..naona ni nyepesi kuliko kushusha torrent...
Me I have it ila nko Moro kwasasa,I would have given u.

Wory not ndio nadownload zile episod za mwisho ambazo sikucheki, yaah for sure nimeipenda aisee yaani unakuwa na shauku ya kujua wht next, kwamie ambae movie huwa naangalia kwa burudani tu bila kuchunguza saaaana wht is inside it najionea poa tu, hayo mambo ya kitaalamu nawaachia nyie na chuma cha reli
 
Last edited by a moderator:
Wory not ndio nadownload zile episod za mwisho ambazo sikucheki, yaah for sure nimeipenda aisee yaani unakuwa na shauku ya kujua wht next, kwamie ambae movie huwa naangalia kwa burudani tu bila kuchunguza saaaana wht is inside it najionea poa tu, hayo mambo ya kitaalamu nawaachia nyie na chuma cha reli

Ukimaliza hio kamata the 100
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom