Series (Special thread)

Series (Special thread)

Ukibahatika kuipata hiyo series utaenjoy sana huyu jamaa criminal anajiita snake humo ndani katisha vibaya ni zaidi ya Jackal Kwanza lina akili, pili kukinukisha yeye ni dk zero mpaka niliwaonea huruma police kawafanya vibaya sana, ana roho mbaya mno hajui kucheka na kima
Mr Q
Vincenzo Jr
Habu Vincenzo Jr ingia mitamboni
 
Habu Vincenzo Jr ingia mitamboni
Kuna scene moja niliipenda sana huyo criminal alikamatwa na polisi akapelekwa kwenye kituo cha polisi kwaajili ya mahojiano akafanikiwa kuchoropoka akafanya balaa sana humo na mwahalifu mwingine ambapo alikuwa kwenye selo akamsaidia kwenye kumtajia sehemu walipo jiposition baadhi ya polisi wakati anafanya balaa lake na kwa kweli jamaa akafanikiwa kuua polisi wote kwenye hicho kituo alivyomaliza yule mhalifu alikuwa anategemea jamaa atamfungulia na yeye aescape cha ajabu msela akamfungia vioo dah nilicheka
 
Ep5 nimangalia jana usiku. Mwamba anatatua matatizo pande mbili. Sehemu alipo na anatakiwa kwingine pia awepo kutatua tatizo. Yani ni hekaheka
Ni balaa sana kaka sema yule mdosi akimdaka kaisha
 
Kuna scene moja niliipenda sana huyo criminal alikamatwa na polisi akapelekwa kwenye kituo cha polisi kwaajili ya mahojiano akafanikiwa kuchoropoka akafanya balaa sana humo na mwahalifu mwingine ambapo alikuwa kwenye selo akamsaidia kwenye kumtajia sehemu walipo jiposition baadhi ya polisi wakati anafanya balaa lake na kwa kweli jamaa akafanikiwa kuua polisi wote kwenye hicho kituo alivyomaliza yule mhalifu alikuwa anategemea jamaa atamfungulia na yeye aescape cha ajabu msela akamfungia vioo dah nilicheka
Mkuu nimetafuta kote naona sioni kitu mzigo upo Netflix tu aisee nimelia sana hapa Cc Mr Q
 
Zitafuteni Cc Carleen if cap fits Mr Q
dosho12
nine-bodies-in-a-mexican-morgue-poster-690x1024.jpg
1923-692x1024.jpg
reacher-season-2-poster-680x1024.jpg
 
Baada ya kumaliza Snowfall nikadownload BMF(black Mafia Family) nimeimaliza leo kwa masikitiko kusubiri mpaka watapotoa muendelezo wake ila ni bonge moja la series.

Namove forward na kigongo kingine kipya hakuna kupoa huu mwaka ni bandika bandua🥱
View attachment 3264046
Kuna kila dalili Night Agent ikanifanya nikeshe siku mbili tatu😂😂
 
Back
Top Bottom