Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Vishu kesho jpili...Shida yako akili fupi dogo, nshakwambia movie ikiwa na maudhui ya kipunga siiwezi.
Kama star wa movie ni punga basi hiyo movie ni ya kipunga siwezi angalia.
Mii niliona angezingua kama yeye ndo angepakuliwa mkuu ..msengerema ndo alipakua kisamvu ili atimize mission yake. Hii scene iliharibu kila kitu msengerema alinichefua sana yule.
Mkuu una app ya movie boxNisaidie link ya kuipakua hii
HapanaMkuu una app ya movie box
Kivipi mkuu yaani jamaa kawa mzembe kwa mke wake auIla the jackal kwa wife hapindui
Sema uzur steering wetu ajaliwa ndo cha kushukuru mkuuTatizo kuanzia episode 6 walivoanza upinde
Amna iyo siipati mzeeVishu Mtata kuna mzigo mwingine unaitwaje zijui ila star ni mniga soijui unaijua..
Inaanza jamaa anatumia binduki alafu pia adui yeye ana gari flan hvi kali
Yaani we uko na shemji mimi nije kuwashangaa, mkiwa mnapigana mate mimi niende kuogelea hata kama kuna mvua au sio ππVishu kesho jpili...
Nitakuwepo pale kigamboni na shemeji yako swaumu .
Fanya utokee maeneo yale ya ulongoni au pweza beach
Ahahaha wewe leo unaenda kulewa wapiAmna iyo siipati mzee
Amna iyo siipati mzee
Mkuuu sapport familia yako bana ukujeYaani we uko na shemji mimi nije kuwashangaa, mkiwa mnapigana mate mimi niende kuogelea hata kama kuna mvua au sio ππ
Kwa mke wake jamaa hana ukorofi wowote kama ule anaokuwa nao kwenye mbanga zakeKivipi mkuu yaani jamaa kawa mzembe kwa mke wake au
Agenda inatangazwa kwa ulazima, wanajua watu wakizidi kuonyeshwa kwa sinema watazoea tu hata uraianiNilichogundua hizi series karibu zote zina vipande vya ushoga/usagaji