Ya mapenzi mkuu. Usaliti na kwanini usaliti hutokea,Ni nzuri sana nianze kuicheki??
Ntaitafuta soon, namalizia shooter bro. Namcheki Bob Lee swaggerUkiicheki urudi unipe Tip.. maana ni nzuri mno. Akili nyingi zinatumika..mabeberu wanamuwinda raisi hadi watu wa idara ya kumlinda raisi wanamuwinda. Han tae kyong mtoto wa waziri wa fedha kama sijasahau ndio anahakikisha VIP yuko safe baada ya viongozi wa team ya kumlinda VIP kutaka kumuua raisi..
Daah, nimekumbuka mbali sana. Hivi ni kweli inamuendelezo baada ya Arthur kufa?8. Hapo je.? Naipenda tu mambo yake ya uchawi uchawi..though ni kahadithi ka kweliView attachment 1281921
Hapana broHope umecheki Den of thieves
Zote zipo kwenye external.. sema mm sipendi muvi zitakazo niumiza roho. Namoyo mwepesiYa mapenzi mkuu. Usaliti na kwanini usaliti hutokea,
Mwanamke ana mume goi goi kwenye bed. Kakutana na mwanasaikolojia wa kiniga anajua kucare + yuko vizuri.
Kilichotokea baadae hadi mimba ikawa balaa😀.
Kuna visa vingine pia. Ilikuwa poa kwangu inajumla ya season kama 5 hivi.
Nimeiangalia kitambo sana aiseeee but it was so good. Vijana wa kimarekani na maisha yao I guessYahusu nini?
Na mimi nimeiangalia OC nadhani 2010Mwaka 2008/9 ndio nimeanza kuangalia hizi mambo, enzi hizo unaenda kodi/nunua cd sio download!!..
soo wayback kwakweli!
Mji ulifunikwa na kitu kama glass, hakingiii kitu hakitoki kitu!..Serikali ya USA ikajaribu piga mpaka nuclear bao dude likahimili!!..Yahusu nini..
Napenda kuangalia movie ila tatizo lugha maana huwa naishia kucheck vitendo basi sijui nifanyeje niweze kuelewa kinacho zungumzwaHope umecheki Den of thieves
Unanitia tamaa tu...Mji ulifunikwa na kitu kama glass, hakingiii kitu hakitoki kitu!..Serikali ya USA ikajaribu piga mpaka nuclear bao dude likahimili!!..
Its how people of different background have to survive inside the dome!.
damn umenikumbusha WAYWARD PINES!.
Pakua subtitles kama huelewi kabisa kingereza tembelea library za DJ Mack atakupatia zilizotafsiriwa kwa kiswahili ila uvumilie QualityNapenda kuangalia movie ila tatizo lugha maana huwa naishia kucheck vitendo basi sijui nifanyeje niweze kuelewa kinacho zungumzwa
Lost kuna kiumbe kinaitwa Benjamin Linus.- One Tree Hill
- 24
- Desperate housewives
- The OC
- Traveller
- Game of Throne
- Designated Survivor
- Boston Legal
- Blacklist
- West Wing
- Lost
Long time bro, enzi hizo kuna series flani ya mark dacascus anaongozwa na kunguru, ile series ya X file, ile series ya V (alien walikuja wakavaa ngozi kama binadam ila hawapatani na sulphur-njano), series ya The bold and the beautiful, The promise (Timy-mdoli unaoongea) enzi za ubora wa ITV!Na mimi nimeiangalia OC nadhani 2010
Under the dome ilitoka sambamba na banshee!!Unanitia tamaa tu...
Huyu si yule mfungwa alokuwa hapatani na Michel rodriguez (dem wa vin diesel kwenye fast furious)?..Lost kuna kiumbe kinaitwa Benjamin Linus.