chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Mambo mengine kwa kweli unaweza kusema ni ndoto.
Ilikuwa kawaida watumishi wa umma kuanzisha nyuzi za kuuliza mishahara kama imetoka, nyuzi hizo hapa JF zimekufa kifo Cha asili (natural death). Mama Samia analipa mishahara mapema kabisa kuliko Rais yeyote tangu nchi ipate uhuru.
Hakika anajali watumishi wa umma.
Viva mama SSH, nchi iko mikono salama.
Kazi inaendelea.
Eeeehh mama ajenga nchi....eeehh mama ajenga nchi *3
Ilikuwa kawaida watumishi wa umma kuanzisha nyuzi za kuuliza mishahara kama imetoka, nyuzi hizo hapa JF zimekufa kifo Cha asili (natural death). Mama Samia analipa mishahara mapema kabisa kuliko Rais yeyote tangu nchi ipate uhuru.
Hakika anajali watumishi wa umma.
Viva mama SSH, nchi iko mikono salama.
Kazi inaendelea.
Eeeehh mama ajenga nchi....eeehh mama ajenga nchi *3