Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Hapo Ukifika tarehe 10 May mshahara wote umekwisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama una duka ni muda wa kukumbushiaAmbao hatujaajiriwa hii taarifa tunaifanyia kazi gani?
😂😂 sikutaka nikuite mpambe ila basi tu. Jitafakari sana, baba yako hawez kukuachia majukumu ya familia ikiwa inatumia elfu 5 kwa sku we unaanza na kufikia elfu 7 na kusema baba aliacha mazingra ya hovyo na bado ukaeleweka.Mkuu, nchi iliharibiwa sana na JPM, mama anaisuka, Tulia, safari ya kaanani iko asilimia 80
Kwa kweli ni jambo jema sana.Hata sisi wakulima,mazao yetu yatapata wanunuzi mapema,ikiwa nyinyi,mlioko kwenye ajira rasmi,mnalipwa mapema.Mambo mengine kwa kweli unaweza kusema ni ndoto.
Ilikuwa kawaida watumishi wa umma kuanzisha nyuzi za kuuliza mishahara kama imetoka, nyuzi hizo hapa JF zimekufa kifo Cha asili (natural death). Mama Samia analipa mishahara mapema kabisa kuliko Rais yeyote tangu nchi ipate uhuru.
Hakika anajali watumishi wa umma.
Viva mama SSH, nchi iko mikono salama.
Kazi inaendelea.
Eeeehh mama ajenga nchi....eeehh mama ajenga nchi *3
Sisi tusiojiriwa,tuko kwenye ajira zisizo rasmi,tunavyouza,vitanunuliwa mapema.Kama mazao yetu wakulima,waliojiriwa ,wakilipwa mapema na sisi,tunapata wateja,ambao ni waajiriwa katika sekta rasmi.Ambao hatujaajiriwa hii taarifa tunaifanyia kazi gani?
Mkuu Safuher umenenaKutoka tarehe 27 ya mwezi wa tatu mpaka tarehe 27 ya mwezi wa nne ni siku 30.
Kutoka tarehe 22 na mwezi wa watu mpaka tarehe 22 ya mwezi wa nne ni siku 30.
Kujali watumishi sio kupunguza namba za tarehe bali ni kuongeza namba za mshahara.
Mambo mengine kwa kweli unaweza kusema ni ndoto.
Ilikuwa kawaida watumishi wa umma kuanzisha nyuzi za kuuliza mishahara kama imetoka, nyuzi hizo hapa JF zimekufa kifo Cha asili (natural death). Mama Samia analipa mishahara mapema kabisa kuliko Rais yeyote tangu nchi ipate uhuru.
Hakika anajali watumishi wa umma.
Viva mama SSH, nchi iko mikono salama.
Kazi inaendelea.
Eeeehh mama ajenga nchi....eeehh mama ajenga nchi *3
😍Mambo mengine kwa kweli unaweza kusema ni ndoto.
Ilikuwa kawaida watumishi wa umma kuanzisha nyuzi za kuuliza mishahara kama imetoka, nyuzi hizo hapa JF zimekufa kifo Cha asili (natural death). Mama Samia analipa mishahara mapema kabisa kuliko Rais yeyote tangu nchi ipate uhuru.
Hakika anajali watumishi wa umma.
Viva mama SSH, nchi iko mikono salama.
Kazi inaendelea.
Eeeehh mama ajenga nchi....eeehh mama ajenga nchi *3
Hii taarifa itakusaidia sana km ifuatavyoAmbao hatujaajiriwa hii taarifa tunaifanyia kazi gani?
Hakika MAMA ANAIJENGA NCHI....🙏
Anaendelea kuijenga NCHI iliyoanzwa kujengwa toka AWAMU YA KWANZA.......😍
#Siempre JMT🙏
#Siempre SSH,amen🙏
Acheni hoja na kutoa sifa za kifala..Mambo mengine kwa kweli unaweza kusema ni ndoto.
Ilikuwa kawaida watumishi wa umma kuanzisha nyuzi za kuuliza mishahara kama imetoka, nyuzi hizo hapa JF zimekufa kifo Cha asili (natural death). Mama Samia analipa mishahara mapema kabisa kuliko Rais yeyote tangu nchi ipate uhuru.
Hakika anajali watumishi wa umma.
Viva mama SSH, nchi iko mikono salama.
Kazi inaendelea.
Eeeehh mama ajenga nchi....eeehh mama ajenga nchi *3
Hata ukilipwa tarehe 15 lazima utasubiri tena mpka tarehe 15 ileile hakuna cha maana, mfumuko wa bei upo palepaleMambo mengine kwa kweli unaweza kusema ni ndoto.
Ilikuwa kawaida watumishi wa umma kuanzisha nyuzi za kuuliza mishahara kama imetoka, nyuzi hizo hapa JF zimekufa kifo Cha asili (natural death). Mama Samia analipa mishahara mapema kabisa kuliko Rais yeyote tangu nchi ipate uhuru.
Hakika anajali watumishi wa umma.
Viva mama SSH, nchi iko mikono salama.
Kazi inaendelea.
Eeeehh mama ajenga nchi....eeehh mama ajenga nchi *3