Kutoka tarehe 27 ya mwezi wa tatu mpaka tarehe 27 ya mwezi wa nne ni siku 30.Mambo mengine kwa kweli unaweza kusema ni ndoto.
Ilikuwa kawaida watumishi wa umma kuanzisha nyuzi za kuuliza mishahara kama imetoka, nyuzi hizo hapa JF zimekufa kifo Cha asili (natural death). Mama Samia analipa mishahara mapema kabisa kuliko Rais yeyote tangu nchi ipate uhuru.
Hakika anajali watumishi wa umma.
Viva mama SSH, nchi iko mikono salama.
Kazi inaendelea.
Eeeehh mama ajenga nchi....eeehh mama ajenga nchi *3
Mwezi wa saba utacheka, chapa kazi, mama anapandisha maslahi ya watumishi. Kazi iendeleeKutoka tarehe 27 ya mwezi wa tatu mpaka tarehe 27 ya mwezi wa nne ni siku 30.
Kutoka tarehe 22 na mwezi wa watu mpaka tarehe 22 ya mwezi wa nne ni siku 30.
Kujali watumishi sio kupunguza namba za tarehe bali ni kuongeza namba za mshahara.
Ofisi za Umoja Party ziko wapi?Trh 22 mpaka trh 22 ni mwezi mmoja na trh 27 mpaka trh 27 ni mwezi. Btw UMOJA party moja ya sera zetu ni kulipa mishahara mitatu trh 1, trh 10 na trh 25. the ends must meet by any means
Mzunguko wa fedha mtaani ni mkubwa sana...Kila mtu anashangaa tulikwama wapiPoint ni nn hapo???
Anayelipa Tarehe 22….mwingine alipe tarehe 25...Kikwete aliyelipa tarehe 28-30...
kikubwa sinumelipwa ??.
Kuna la maana hapo???
Mbona mna mawazo ya kimasikini??
Walimu na Mapolisi Mnasumbua sana !!!!. Madeni mnayo mengi mnoo kitaan kiasi kwamba wakitoa mishahara mapema , mnashukuru !!!
Amini nakuambia, kufika tarehe 15 mwezi ujao, utakua UNALIA NJAA NJAA !!.
Uko Tanzania hii hi??Mzunguko wa fedha mtaani ni mkubwa sana...Kila mtu anashangaa tulikwama wapi
Yaan Chinembe analeta hoja fake.Kwan unamlinganisha Samia na JPM kwani Samia ni Rais wa kuchaguliwa na watu?Yaan huyu Chinembe anaanzisha vinyuzi vingi ,visivyo na mantiki.Tunataka Samia atuongeze mishahara.Na pia tunataka katiba mpya.Kutoka tarehe 27 ya mwezi wa tatu mpaka tarehe 27 ya mwezi wa nne ni siku 30.
Kutoka tarehe 22 na mwezi wa watu mpaka tarehe 22 ya mwezi wa nne ni siku 30.
Kujali watumishi sio kupunguza namba za tarehe bali ni kuongeza namba za mshahara.
Mkuu, nchi iliharibiwa sana na JPM, mama anaisuka, Tulia, safari ya kaanani iko asilimia 80Uko Tanzania hii hi??
Tanzania ambayo gharama za Maisha ziko juuu uku pesa ikionekana Haina thaman???.
Tatizo lenu ni Moja,,, mnayemsifia ni mjinga .
Amina, Mwenyezi Mungu akubariki sana, wewe ni hazina ya taifa hilisasa mchape kazi kwa bidii na maarifa yenu yote, muache kupigana mjungu na fitina.
Rais Samia kadhamiria kurudisha tabasamu kwa watumishi wa umma, sasa kamwe hawataishi maisha ya kukopakopa na kudhallika kwenye maduka ya vyakula.
Pongezi pia kwa Waziri Jenista Mhagama kwa bidii anayo ifanya ya kuwaboreshea masilahi ya watumishi.
Bajeti ya mwaka 2022/23 inajambo kubwa kwa watumishi.
Mbunge wa Gairo aliwahi kusema
" ukitaka mzunguko wa fedha uongezeke basi waongezee mshahara watumishi wa umma kwani wao ndio walio tapakaa kila kona ya nchi na ndio wenye matumizi makubwa........"
Ilianza wakati wa Magufuli,acha kusema uwongo.Mambo mengine kwa kweli unaweza kusema ni ndoto.
Ilikuwa kawaida watumishi wa umma kuanzisha nyuzi za kuuliza mishahara kama imetoka, nyuzi hizo hapa JF zimekufa kifo Cha asili (natural death). Mama Samia analipa mishahara mapema kabisa kuliko Rais yeyote tangu nchi ipate uhuru.
Hakika anajali watumishi wa umma.
Viva mama SSH, nchi iko mikono salama.
Kazi inaendelea.
Eeeehh mama ajenga nchi....eeehh mama ajenga nchi *3
Nini cha ajabu hapo. Mshahara ni uleule unalipwa kwa interval ya mwezi 1 haijalishi umeupata tarehe 1 au tarehe 31Mambo mengine kwa kweli unaweza kusema ni ndoto.
Ilikuwa kawaida watumishi wa umma kuanzisha nyuzi za kuuliza mishahara kama imetoka, nyuzi hizo hapa JF zimekufa kifo Cha asili (natural death). Mama Samia analipa mishahara mapema kabisa kuliko Rais yeyote tangu nchi ipate uhuru.
Hakika anajali watumishi wa umma.
Viva mama SSH, nchi iko mikono salama.
Kazi inaendelea.
Eeeehh mama ajenga nchi....eeehh mama ajenga nchi *3