sasa mchape kazi kwa bidii na maarifa yenu yote, muache kupigana mjungu na fitina.
Rais Samia kadhamiria kurudisha tabasamu kwa watumishi wa umma, sasa kamwe hawataishi maisha ya kukopakopa na kudhallika kwenye maduka ya vyakula.
Pongezi pia kwa Waziri Jenista Mhagama kwa bidii anayo ifanya ya kuwaboreshea masilahi ya watumishi.
Bajeti ya mwaka 2022/23 inajambo kubwa kwa watumishi.
Mbunge wa Gairo aliwahi kusema
" ukitaka mzunguko wa fedha uongezeke basi waongezee mshahara watumishi wa umma kwani wao ndio walio tapakaa kila kona ya nchi na ndio wenye matumizi makubwa........"