Serikali awamu ya sita inalipa mishahara mapema kabisa tarehe 22, imevunja rekodi ya Hayati Magufuli wa akilipa tarehe 25 mpaka 27. Hongera Rais Samia

Wastaafu wamelipwa? Niko msibani hapa kuna mstaafu anasema hana cha kuchangia Pension haijaingia hadi muda huu tarehe 25 na msiba ni wake
 
kweli mkuu kwani bajeti inayoishia mishahara ya watumishi ni trilioni ngapi na bajeti ijayo propose budget ni shilingi ngapi tuanzie hapo tujue kuna nyongeza ya asilimia ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…