Serikali Awamu ya Tano yasaini Mkataba wa kusambaza maji Kutoka ziwa Victoria Kuelekea Majimbo ya Musoma, Bunda na Butiama Wenye Thamani ya Bil 70

Alafu mradi wenyewe ni bilioni 70! Yaani imechukua miaka 59 ya uhuru kupata bilioni 70?Tatizo la nchi hii ni vipaumbele vibovu.
Sasa hivi hamuulizii tena hela tunatoa wapi, pamoja na sanksheni za vikwazo-ulanzi vya Mr Mzungu & Bob wake???
 
Hata kama yangeandikwa mambo 100 ya msingi, bado ungepondea tu. Hamnaga jema.
 
Watu wa Rorya mlie tu. Ziwa mnalo lakini maji hakuna kabisa. Imebaki kulinyea tu.
POLENI RORYA.
 
Hongera nyingi kwa Serikali kwa Mradi mkubwa, kikubwa Vijiji bomba linakopita wapatiwe Maji ili kuepuka hujuma za miundombinu.
Mbona inaonekana mabebelu wapo?
 

Duuu bora umelijua hilo, hakuna atakayekuja kuonyoosha maelezo kwenye hayo, maana ni porojo kama porojo nyingine.
 
Mbona sijaona Majimbo ya Rorya, Tarime na Serengeti?.
 
Chief. Hata wakoloni walikuwa wajenga hiki mala kile nk. Lakini tuliwaondoa kwasababu ya kushindwa kutuheshimu. Hskuna serikali hii italifanya eti liwe mbadala wa haki yetu ya kikatiba kuchagua viongozi tunao wataka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…