Serikali boresheni mishahara ya Walimu wa nchi hii

Magu alitaka mishara yote ifanane sio degree wamesoma wote 3yrs mwingine ale 4mil mwingine laki7 its not fair
Wewe mbinguni utakusikia tu kwa uongo wako hapa! Kwa taarifa yako huyo shetani Magufuli angefurahi zaidi kama watu wangefanya kazi bure ili akwapue zaidi!
 
Kwa uelewa wako watu wanaofanya kazi na kupitia mazingira hayo ni waalimu tu? Acha ubinafsi...
 
Nakumbuka tilulimchangia headmaster wetu pesa akanunue gari baada ya kustaafu nikajiuliza pesa alipeleka wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…