Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AtakuelewaUsihangaike, hao ni ‘manabii’ waliotengenezwa na serikali. So huyo ni mtu wao
Alafu mkongomani huyu
Hawa wengi matapeli tu
Wanacheza na akili za watu
Mfano leo hii,mm nianze kumshobokea kakob wakati
Wengine tumekuwa na tunamuona kakob anauza cd kko
Leo hii nabii 😄
Ukiishi kwa kuona mengi elimu tosha kabisa huwezi kubabaishwa
Na mtu
Ova
Alikuwa anauza mikanda ya mizikiKabisa ni matapeli sana hao ,ila huyo nabii feki sijui kwanini watu wanashindwa kugundua usanii wake.
Duuh kumbe Katortoise alikuwa anauza CD k/koo 😀 😀 daaa hatari sana.
Kabisa kuishi kwingi kuona mengi ,ndio maana hawa matapeli hawatuiingizi mkenge.
Acha kidogo wapigwe bhana .Mtapigwa sanaa hadi mchakae 200k..?
Hizo simu unazosikia ni feki. Ni watu wake amewapanga. Hata Arusha kuna redio nimeishitukia kuna mganga ana kipindi basi watu wanapiga simu kumshukuru kwamba walienda kwake matatizo yao yakatatuliwa. Ukichunguza utaona sauti ni zilezile kila siku! Nashindwa kuelewe kilicho nyuma ya hivi vituo vya redio.Huyu Jamaa tushawasanua sana watu humu kwamba jamaa ni Tapeli ,yaani anafufua wafu ,yaani ukipiga simu hata uwe na ugonjwa gani utapona tu ,cha kushangaza hiyo namba muda wote ipo busy tu ,kwa kifupi anafanya usanii ,na tatizo letu sisi waTZ hatushirikishi ubongo easy sana kudanganywa.
Usihusishe serikali na vitu vya kipumbavu kila mtu amepewa akili hapo inategemea unaitumiaje akili uliyopewa,wanaoenda huko wameenda kwa ridhaa zao wenyewe wacha tu wapigwe
Shuhuda za mchongo za kuwahadaa wajingaUkimsikiliza Kuhani Musa, Mwamposa na huyo kiboko ya wachawi katika shuhuda ambazo watu wanatoa kama una akili timamu huwezi kwenda huko kwa sababu ya utapeli unajionyesha kabisa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hivi vituo vya redio siku hizi basi tu.......Sure ,watu sijui wanadanganyika vipi na usanii wanaoufanya ,Tapeli Dominic anachofanya anaingia studio anarecord mazungumzo ya kisanii ya mpiga simu then wanyarusha Furaha Redio,Efm au Times FM.
Kuna siku kuna dada alimpigia simu kwamba hajui amepewa mimba na nani hivyo akampigia Kiboko ya wachawi amtajie ,then Nabii akamtajia kwamba ni Fundi Ujenzi ndiyo aliyempa ujazito kati ya wanaue wake sita.
Mimi huwa namsikiliza kama ze comedy huwa nafurahi sana anavyoigiza.
Wana akili walendio maana wameendelea maana wanajua maendeleo yanapatikana kwa kufanya kazi siyo uwakusanye watu uwauzie maneno matupu na mafuta ya upako.Kwahiyo unataka kusema wachina hawana akili? Uchina hata kukusanyika ukafanya maubili utawekwa ndani, unaambiwa nenda nyumbani kwako ukaombe unavyotaka na sio kukusanya watu.
Utapeli in any form ni kuvunja sheriaWajing ndio waliwao
Kam havunji sheria kazi iendelee